Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
unamaanisha?
Pina hanauwezo wa kumkalisha msanii Yeyote wa Arusha na wao wanalijua hilo maana itaile first time mkono kwa mkono kalapina na crew yake walochemka ndipo wakatoa zana,mnaijua hip hop au mnaongea!!mnaijua camp ya nako2nako au mnaongea tu!!!? Kujiunga tu kwa tizi upige non stop push up 200 ndio utaruhusiwa kufanya mazoezi nao na ukikubaliwa jua kila siku kabla ya mazoez n push up 1000
"Unafuga nguvu kwa vyuma, kurap we goigoi" Ngosha the Don Fid Q
nyie watoto wa arusha chexzen mbali na kikosi cha mizinga,mnajidanganya tu mkiwa huko arusha mnajifanya kubweka kwa mbali huku mikia ikiwa katikkati ya miguu ,mbona walivyokuja huku bongo hao akina N2N walitolewa kamasi mpaka kukimbilia polisi,mnadhani tumesahau?
View attachment 95233KAlapina tunampa kwa kuanzia tu huyo jamaa..haha..hamna cha neema mitego wala nani...bora ukutane na jini kuliko huyo..uone kama manyama hayajamwisha...ACHENI ZENU, NYIE ,ARUSHA KUNA WATU HATARI JAMANI..MDOMO TU NDO HAWANA..ILA SUALA LA NOMA TU!..DAR BADO SANA..HAMNA MA RUDEBOY NYIE..HAMJUI NOMA..MDOMO MWINGI...YANI NATAMANI ATA NIKUPE KA SHORT TOUR KITAA KWANGU AFU UONE KAMA KIKOSI NI HIP HOP...TATIZO MNATISHWA NA MAMWILI NYIE, YANI KAMA NI VAGI, UKU WAMEZOEA JOMBA..NA UKIZIDISHA KIHEREHERE UNAPOTEZWA..HIVI UNADHANI PINA ANGEKUWA ARUSHA ANGEKUWA HAI?..Haha..bado sana..41 nimeenda..hata mimi mazoezi yao hayantishi..sema wanakaumoja flan kanawasaidia..tofauti na hapo...bado sana..
Hahahah huyo bwana mdogo sana,dar tuna marudeboy kibao usione huwasikii kwa mana siku hiz wanaotamba bongo ni wenye cheda,ila wapo tele siku likitokea vagi ndio utawajua wapo tele akina shaban ninja,master,lintu akina damme na wengine tele huyo kalapina ni kama dogo tu kwao, HUIJUI HISTORIA YA DAR SO KAA KIMYA! WACHIMBA CHUMVI WA APOLO
Mkuu huyu Damme ni nani namsikia sikia sana