kalapina again???????

Ni kweli kila mtu amemshangaa huyu diwani wa CUF kinondoni.
 
Tupeni info sioni kitu hapo,umeweka nini picha au? Kama ni picha ambayo ana damu nakumbuka ashatolea maelezo kwamba kuna trak yake ameitoa ame-act jinsi alivyotekwa ulimboka na kumpeleka msitu wa pande,ebu nipe info ndio ni-confirm!
 
Tupeni info sioni kitu hapo,umeweka nini picha au? Kama ni picha ambayo ana damu nakumbuka ashatolea maelezo kwamba kuna trak yake ameitoa ame-act jinsi alivyotekwa ulimboka na kumpeleka msitu wa pande,ebu nipe info ndio ni-confirm!

mkubwa kama ulikuwepo kuna mtu kani watsapp picha flani ila nadhani nimezielewa kutokana na maelezo yako....e bwana siku izi ku upload picha inanizingua sana ebu nipe maujanja zaidi maana ni niki attch au ku insert inagoma ku browse....
 
mkubwa kama ulikuwepo kuna mtu kani watsapp picha flani ila nadhani nimezielewa kutokana na maelezo yako....e bwana siku izi ku upload picha inanizingua sana ebu nipe maujanja zaidi maana ni niki attch au ku insert inagoma ku browse....

Yani uwezi amini hizo pix sizioni kabisa,kama ndio hizo basi anarecord trak yake!! Mkuu nipo kwa mobile nikiwasha kalaptop asubuhi nitachek wapi kuna tatizo ili nami ni experience so it'll be easy for solvin it.
 
Yani uwezi amini hizo pix sizioni kabisa,kama ndio hizo basi anarecord trak yake!! Mkuu nipo kwa mobile nikiwasha kalaptop asubuhi nitachek wapi kuna tatizo ili nami ni experience so it'll be easy for solvin it.

nimekusoma.,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…