Kali Ya Karne: Mlinzi wa Getini amuomba rushwa Rais Uhuru Kenyatta ili amruhusu kutembelea bustani ya taifa nchini Kenya

rip mlinzi
 
There was mwana biashara in dar slum he had issues with TRA,
Magufuli alidai na kuwamuru tra walipe fidiya mwana biashara huyo.
To date he has not been payed hata centi moja.
Rushwa ya kufa mtu, au sio???
 
Alikua anaitwa Batenga, alikua tapeli wa kimataifa.
 
Alikua anaitwa Batenga, alikua tapeli wa kimataifa.
kwani nshomile mna shida gani, au kusoma kwingi manake hata ukienda posta watengeneza mihuri feki na wapiga saini za watu feki ni nshomile, na wanavalia suruali kifuani. kiingereza kingiii.
 
Watanganyika makajanja wana mini kwa makanjanja ni kazi kama nyingine ila sheria na dola ni uthi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…