Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCNaishi Tabata Chang😱mbe_ Dar es Salaam, siku 3 leo hakuna umeme kabisa! Napiga simu huduma kwa wateja eti najibiwa namba haipatikani! TANESCO usingizi gan huu mmelala?View attachment 2559539
0715768589Naishi Tabata Chang😱mbe_ Dar es Salaam, siku 3 leo hakuna umeme kabisa! Napiga simu huduma kwa wateja eti najibiwa namba haipatikani! TANESCO usingizi gan huu mmelala?View attachment 2559539
Hivi kwanini kituo permanent kama kile kilijengwa kwa makontena, hivi wendawazimu wataisha lini nchini?0715768589
0684001068
Hotline za Tanesco Tabata hizo hapo ila andaa pesa ya hongo maana kabla ya kuja wanauliza kabisa kama una hela ya mafuta ili upate kipaumbele.
Na ukisema uwashtaki kwa mkubwa wao pale tabata Liwiti jibu utakalopewa ni kuwa shukuru wamekutatulia tatizo.
Kwa hapa JF wakikujibu watakwambia tupe namba yako ya simu na mita na eneo ulipo. Ujue hiyo ndio bye bye.
Kila la heri.
Ukichunguza vitabu vya gharama za ujenzi wa hapo utakuta una thamani ya magorofa ya kisasa.Hivi kwanini kituo permanent kama kile kilijengwa kwa makontena, hivi wendawazimu wataisha lini nchini?
Duuuh, acha tuUkichunguza vitabu vya gharama za ujenzi wa hapo utakuta una thamani ya magorofa ya kisasa.
Noh! Kwasasa huduma kwa wateja ni namba niliyoweka katika attachment picture hapo tu, hizo za matawi walishaziua. Sasahiv unapiga simu hiyo tena kwa mkoa wote wa Dar alafu wao ndiyo wanashusha taarifa kwenye tawi husika0715768589
0684001068
Hotline za Tanesco Tabata hizo hapo ila andaa pesa ya hongo maana kabla ya kuja wanauliza kabisa kama una hela ya mafuta ili upate kipaumbele.
Na ukisema uwashtaki kwa mkubwa wao pale tabata Liwiti jibu utakalopewa ni kuwa shukuru wamekutatulia tatizo.
Kwa hapa JF wakikujibu watakwambia tupe namba yako ya simu na mita na eneo ulipo. Ujue hiyo ndio bye bye.
Kila la heri.
OkNoh! Kwasasa huduma kwa wateja ni namba niliyoweka katika attachment picture hapo tu, hizo za matawi walishaziua. Sasahiv unapiga simu hiyo tena kwa mkoa wote wa Dar alafu wao ndiyo wanashusha taarifa kwenye tawi husika