Kali ya mwaka2014/2015

Joined
Mar 29, 2014
Posts
26
Reaction score
9
Hivi ni kweli wadau wa jf eti kuna chaguo la pili kwa wale ambao hawakuchaguliwa kujiunga na kidato cha 5 wakati wame shinda kutokana na huaba washule sasa watachaguliwa awamu ya pili? daah kama nikweli majanga hata advance ameanza kupokea awamu yapili!>
>vipi sasa kwa mtindo huu tutapata elimu bora au bora elimu??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…