Wengi wetu wa JF tunaona kukubali kwamba tunaangalia muvie za kina Kanumba tutachekwa, ila ukweli jamaa wanauza sana kitaani. Ukuitaka kujua nenda kwenye vibanda vya huku kwetu mtaani vya kukodisha movie, ni full Kanumba, Ray et al.
Vile vile ukisikia stori za wamama ambao ndio wanunuaji wa hizi movie wanawakubali jamaa kinoma noma.
Kwa hiyo jamaa wataendelea kuuza kwa sababu wanajua wateja wao wanahitaji nini.
NOTE: waJF style zao kukopi kwenye computa kwa hiyo sio wazuri kwa soko la jamaa hawa wa Bongo Movie.