Kaliba na Kadhia

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Haya maneno nimeyakuta uzi fulani, hakika yamenitoa kamasi, nisaidieni wakuu
 
.
Kadhia= affairs, incident, event, happening; misfortune.

Hilo lingine sina jibu la harakaharaka Amavubi
.
 
Last edited by a moderator:
.
Kadhia= affairs, incident, event, happening; misfortune.

Hilo lingine sina jibu la harakaharaka Amavubi
.
asante, kwa hiyo wakisema mtu wa kadhia nfulani wanaanisha hivi? uzi ulisema watu wa kaliba na kadhia mbalimbali
 
asante, kwa hiyo wakisema mtu wa kadhia nfulani wanaanisha hivi? uzi ulisema watu wa kaliba na kadhia mbalimbali
Kaliba inatokana na neno la kiingereza Calibre lenye maana ya kiwango, ubora, mwenendo na mengine kama hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…