babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huyu jamaa kwenye ngwasuma alikua moto mbaya sana.
Naweza kumfananisha na Chameleon kwa werrrason sasa hivi. Pia zamani sana kulikua na na dogo kule beta la muzika totoo ze bingwa nae alikua balaa.
Nimewakumbuka tu baada ya kuskia kifo cha malu stonch🙏. Diouf nae yumo ingawa alipigika hapo kati.
Nakuja soon mwana masanja 😪.
Naweza kumfananisha na Chameleon kwa werrrason sasa hivi. Pia zamani sana kulikua na na dogo kule beta la muzika totoo ze bingwa nae alikua balaa.
Nimewakumbuka tu baada ya kuskia kifo cha malu stonch🙏. Diouf nae yumo ingawa alipigika hapo kati.
Nakuja soon mwana masanja 😪.