Kaliua Saga: Vita ya Madaraka na uhuni wa wahuni

Badilisha kada mkuu
 
Badilisha kada mkuu
Tangu 2014 nlipoajiriwa, nmekuwa nastruggle sana kubadili kada sema mambo ni tait sana kwa sasa...

Ila kiukweli Hakuna kada iliyojaa wanafiki kama ualimu...labda kwa sababu ya njaa...
 
Mkuu, kalamu chuma naomba unifumbue macho. Mwamba kwanini anaingizwa kwsnye huu Mgogoro?
 
Walimu wa miaka hii wa ajabu sana wanaacha kazi zao za msingi wanahangaika na vyeo na majungu, na ndiyo maana hawapendani hata kidogo
 

Tuchape kazi na saa zingine majungu kama haya ndiyo yanayotuchelewesha tabolaa. Nasema uongo ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…