Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Jana Kally Ongala, mtoto wa mwanamuziki wa zamani nchini Remmy Ongala na kocha wa azam aliongea maneno ya shombo akijiona yeye ndio bonge la kocha na ana uwezo kuliko kocha yoyote yule.
Akijifanya hajui kiswahili vzr wakat kashakaa sana kitaa na kuchezea Abajalo Leo kachezea kichapo na mdomo kaufunga.
Azam huyo Kalimangonga Ongala ni kocha mdogo sana, mwakani mtaendelea kusindikiza.
Akijifanya hajui kiswahili vzr wakat kashakaa sana kitaa na kuchezea Abajalo Leo kachezea kichapo na mdomo kaufunga.
Azam huyo Kalimangonga Ongala ni kocha mdogo sana, mwakani mtaendelea kusindikiza.