Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kwa kuikamia Simba.Kama ni wabovu Wanefikaje fainali?
Ihefu hakutukamia walitufungaKwa kuikamia Simba.
Ni kama mlivyopigwa na Ihefu tu
Si waliwatoa Makolo simba kwenye hatua ya nusu fainali!!Kama ni wabovu Wanefikaje fainali?
huyo hana cheti cha ukochaJana Kally Ongala, mtoto wa mwanamuziki wa zamani nchini Remmy Ongala na kocha wa azam aliongea maneno ya shombo akijiona yeye ndio bonge la kocha na ana uwezo kuliko kocha yoyote yule.
Akijifanya hajui kiswahili vzr wakat kashakaa sana kitaa na kuchezea Abajalo Leo kachezea kichapo na mdomo kaufunga.
Azam huyo Kalimangonga Ongala ni kocha mdogo sana, mwakan mtaendelea kusindikiza
Kally dlichezea pia Yanga ,akawatungua Makolokwin,golini alikuwa Mohamed Mwameja.Jana Kally Ongala, mtoto wa mwanamuziki wa zamani nchini Remmy Ongala na kocha wa azam aliongea maneno ya shombo akijiona yeye ndio bonge la kocha na ana uwezo kuliko kocha yoyote yule.
Akijifanya hajui kiswahili vzr wakat kashakaa sana kitaa na kuchezea Abajalo Leo kachezea kichapo na mdomo kaufunga.
Azam huyo Kalimangonga Ongala ni kocha mdogo sana, mwakani mtaendelea kusindikiza.
GSM ni nooma,anatembeza bahasha hadi Algeria ,Tunisia DRC ,Nigeria na Afrika kusini.Huyu atakuwa tajiri kuliko Benzos,Mask na Dangote kabisa.Bahasha za jiesiemu zimeendelea kununua ushindi[emoji1787]
Na hapo jamaa la kutetema hakuwepo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Azam hawezi kumfunga Yanga labda siku kally Ongora akifukuzwa Azam
Shabiki wa Yanga ndiyo. Ila sidhani kama ni mnazi. Ana miyeyusho huyo sijui katoa wapi roho ile.Halafu huyu Kally Ongala si ni Yanga lia lia huyu ?
Ndo yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu huyu Kally Ongala si ni Yanga lia lia huyu ?
Kocha wa hovyo sana. Hana vyeti na hana hata ujuzi wa kufundisha . Ni vile tu anajuana na Yusufu bakhera pale chamaziAzam huyo Kalimangonga Ongala ni kocha mdogo sana, mwakani mtaendelea kusindikiza.