Majina yao yapo kwenye siasa za Kenya.
Watajwa hapo juu wamekaa kwenye siasa ya Kenya kwa muda sasa na ni nguli wa Siasa za Kenya miaka mingi sana.
Je, watajwa hapo juu wananafasi ipi kwenye siasa za Kenya?
Je, wanaweza kubadili chochote au wanaweza kuchange game za kisiasa muda wowote nchini Kenya.
Au wao huwa ni wasindikizaji na hawana madhara yoyote kwa mabadiliko ya siasa ya Kenya?
Watajwa hapo juu wamekaa kwenye siasa ya Kenya kwa muda sasa na ni nguli wa Siasa za Kenya miaka mingi sana.
Je, watajwa hapo juu wananafasi ipi kwenye siasa za Kenya?
Je, wanaweza kubadili chochote au wanaweza kuchange game za kisiasa muda wowote nchini Kenya.
Au wao huwa ni wasindikizaji na hawana madhara yoyote kwa mabadiliko ya siasa ya Kenya?