Kalori ni nini? Na je tunapimaje kalori kwenye chakula?

Kalori ni nini? Na je tunapimaje kalori kwenye chakula?

TIASSA

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
2,926
Reaction score
3,530
Katika kupita pita kwenye mtandao nilikutana na calories calculator hii hapa http://bit.ly/1qDxrrO ambayo, inakokotoa calorie unazotakiwa ule kwasiku hiyo ni kutokana umri ,kilo zako na urefu wako, na kama unataka kupungua kilo moja kila wiki ule calori ngapi kwa siku. Mimi nimekwama sanasana kwenye hiyo kalori tunaihesabuje kwenye chakula chetu tunachokula? Pia uhusihano uliopo kati ya kalori na mazoezi. Kuna watu wamekuwa wakilalamika kuwa pamoja nakufanya mazoezi wamekuwa badala ya kupungua unene unaongezeka tu. Asanteni naomba mwenye uelewa juu ya haya makitu tuelimishane..
 
Ni miaka 10 sasa swali lako halijajibiwa.

Wataalamu mje huku kuna mtu alitaka kunenepa kwa haraka bahati mbaya hakupata muongozo
 
Back
Top Bottom