Kama $400,000 zinazalisha 400 megawat- Rusumo Falls , je kwanini Serikali inakubali kutumia $2.9bn kuzalisha 2100 megawatts?

Yaonesha ulisoma yake masomo yasiyohitaji nguvu nyingi ya ubongo. Ninavyokufahamu una uzito wa kilo 70 mimi nina kilo 75. Ajabu siku ile tulipokaa kupata luch ulikula plate 5 za pilau nami nikala moja tu ya ujazo ule ule! Ulifanya hizo hesabu zako za kizembe?
 
huko kwenu $400m ni kubwa kuliko $2.9b?
 
Kwanza hazipo sehemu moja hivyo lazima bei itofautiane, pili wajenzi wanaangalia faida ukitaka kutangaza tenda Ya pipi Lazima bei Iwe juu ili atakayeshinda aone faida la sivyo Hakuna atakayeshindania Hiyo tenda Kama faida ni kiduchu.
 
Akiri za watanzania kujifanya wanajua kila kitu unaleta hesabu za cross multiplication tofauti ya eneo tu ni kigezo tosha kwa uwiano wa bei kuwa tofauto ungelinisha tofauti ya bei kwa wakandarasi kwa kila mradim

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia umbali kutoka bandari na kusafirisha mitambo. Rusumo ni mbali sana.
 
Kuna jamaa aliwahi tuletea mvua ya pakti kutoka Thailand, eti yakujaza mtera. JPM abarikiwe sana anakua kubajeti hela yetu.
 
Nadhani umeenda nje ya mada, mtoa post anazungumzia kutumia $400m kwa MG80, halafu huku mnatumia $2.9 billion kwa MG 2100 kuna uhalisia au kuna mtu anapigwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…