Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Naangalia channel tena. Mchambuzi mmoja anasema kama kweli adhabu ya Ali Kamwe itakuja rasmi miaka miwili basi hii kamati haina nidhamu, Maadili na Hekima.
Haiwezekani kamati hawajatangaza rasmi adhabu lakini taarifa imeshavuja Nje. Hili suala TFF mkajitathimini, mkakajiangalie madhaifu yenu. Mimi nawasubiria mtoe taarifa rasmi ntawachamba kweli.
Ole wenu iwe miaka miwili.
Yaani humo kwenye kamati wote mnakuwa wambeya na wanafiki. Hamna madili wala NIDHAMU. Kama taarifa zenu zinaweza kuvuja kabla amjatoa taarifa rasmi mjue mna shida.
Na shida kama hizi ndizo Ali Kamwe anawaonya mbadilike.
Mkiambiwa mbadilike hamtaki mnatishia kufungia watu.
Mungu atawahukumu na mtatatia aibu milele soka letu.
Haiwezekani kamati hawajatangaza rasmi adhabu lakini taarifa imeshavuja Nje. Hili suala TFF mkajitathimini, mkakajiangalie madhaifu yenu. Mimi nawasubiria mtoe taarifa rasmi ntawachamba kweli.
Ole wenu iwe miaka miwili.
Yaani humo kwenye kamati wote mnakuwa wambeya na wanafiki. Hamna madili wala NIDHAMU. Kama taarifa zenu zinaweza kuvuja kabla amjatoa taarifa rasmi mjue mna shida.
Na shida kama hizi ndizo Ali Kamwe anawaonya mbadilike.
Mkiambiwa mbadilike hamtaki mnatishia kufungia watu.
Mungu atawahukumu na mtatatia aibu milele soka letu.