Kama alichosema leo Kocha wa Simba SC ni 'Mind Game' tu namuunga mkono, ila kama ni kweli 'lawama' zangu ziende kwa Uongozi

Kama alichosema leo Kocha wa Simba SC ni 'Mind Game' tu namuunga mkono, ila kama ni kweli 'lawama' zangu ziende kwa Uongozi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC.

GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya kama tu sehemu ya 'Mind Game' kwa Wapinzani wetu basi namuunga mkono kwa 100% ila kama ni kweli 'watakosekana' na hasa hasa kwa 'Play maker' Chama na 'Goal Machine' Mugalu kutokana na kuwa 'Majeruhi' Kesho Simba SC 'tukifungwa' lawama zangu nitazipeleka kwa Uongozi mzima wa Klabu yetu ya Simba SC.

Kwanini 'nalaumu' Jibu ni 'jepesi' tu kwamba kulikuwa na 'Umuhimu' gani wa Juzi 'Kuwachezesha' hawa Wachezaji 'mahiri' na 'muhimu' dhdi ya Kagera Sugar FC huku tukujiua kuwa tuna huu 'Mtanange' wetu muhimu wa Kesho Jumamosi dhidi ya Yanga SC? Kwani 'wangetumika' Wachezaji wengine ambao huwa hawapati nafasi Kikosini bado tu 'tusingeshinda' ile Juzi?

Hata hivyo nitumie nafasi hii pia 'Kuwaonya' Yanga SC ambao najua taarifa ya kwamba Chama na Mugalu hawatakuwepo kwani wametegwa sana.
 
Ndugu,ile game dhidi ya Kagera ulikuwa unaiona ya kitoto siyo?Mbali na Yanga,timu nyingine ambazo Simba ikikutana nazo huwa ni darby ni Kagera Sugar na Azam.Nyingine zilikuwa Toto African,Mbao,Pamba,Polisi Dodoma,Plisner,na Tukuyu Stars.

Ukimfunga Yanga pointi ni zile zile sawa na ukimfunga Kagera. Kikubwa ni tupate points 3 kila mechi.
 
Sioni kabisa kesho sijui mtatokea wapi!

Chama atakuwepo kama kawaida na kipigo kipo pale pale.
 
Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC.

GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya kama tu sehemu ya 'Mind Game' kwa Wapinzani wetu basi namuunga mkono kwa 100% ila kama ni kweli 'watakosekana' na hasa hasa kwa 'Play maker' Chama na 'Goal Machine' Mugalu kutokana na kuwa 'Majeruhi' Kesho Simba SC 'tukifungwa' lawama zangu nitazipeleka kwa Uongozi mzima wa Klabu yetu ya Simba SC.

Kwanini 'nalaumu' Jibu ni 'jepesi' tu kwamba kulikuwa na 'Umuhimu' gani wa Juzi 'Kuwachezesha' hawa Wachezaji 'mahiri' na 'muhimu' dhdi ya Kagera Sugar FC huku tukujiua kuwa tuna huu 'Mtanange' wetu muhimu wa Kesho Jumamosi dhidi ya Yanga SC? Kwani 'wangetumika' Wachezaji wengine ambao huwa hawapati nafasi Kikosini bado tu 'tusingeshinda' ile Juzi?

Hata hivyo nitumie nafasi hii pia 'Kuwaonya' Yanga SC ambao najua taarifa ya kwamba Chama na Mugalu hawatakuwepo kwani wametegwa sana.
Kagere ni kweli hayupo,yupo rwanda anatibiwa,chama ni mzima 8la mugalu k8dogo ana shida
 
Yanga makopo hata tuchezeshe mashabiki tu tunawafunga leo.
 
Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC.

GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya kama tu sehemu ya 'Mind Game' kwa Wapinzani wetu basi namuunga mkono kwa 100% ila kama ni kweli 'watakosekana' na hasa hasa kwa 'Play maker' Chama na 'Goal Machine' Mugalu kutokana na kuwa 'Majeruhi' Kesho Simba SC 'tukifungwa' lawama zangu nitazipeleka kwa Uongozi mzima wa Klabu yetu ya Simba SC.

Kwanini 'nalaumu' Jibu ni 'jepesi' tu kwamba kulikuwa na 'Umuhimu' gani wa Juzi 'Kuwachezesha' hawa Wachezaji 'mahiri' na 'muhimu' dhdi ya Kagera Sugar FC huku tukujiua kuwa tuna huu 'Mtanange' wetu muhimu wa Kesho Jumamosi dhidi ya Yanga SC? Kwani 'wangetumika' Wachezaji wengine ambao huwa hawapati nafasi Kikosini bado tu 'tusingeshinda' ile Juzi?

Hata hivyo nitumie nafasi hii pia 'Kuwaonya' Yanga SC ambao najua taarifa ya kwamba Chama na Mugalu hawatakuwepo kwani wametegwa sana.
Francis Kahata anaweza kucheza nafasi ya chama vizuri kuliko mchezaji yoyote waliopo kikosini kwa sasa
 
Nimemsikia Kocha Mkuu Sven kuwa Wachezaji wetu muhimu, mahiri na tegemezi kabisa katika Kuamua 'Ushindi' Kiungo Clatous Chama na Washambuliaji Meddie Kagere na Chris Mugalu Kesho 'watakosekana' katika Mtanange wetu muhimu na Wapinzani wetu Yanga SC.

GENTAMYCINE nasema kama Kocha amesema haya kama tu sehemu ya 'Mind Game' kwa Wapinzani wetu basi namuunga mkono kwa 100% ila kama ni kweli 'watakosekana' na hasa hasa kwa 'Play maker' Chama na 'Goal Machine' Mugalu kutokana na kuwa 'Majeruhi' Kesho Simba SC 'tukifungwa' lawama zangu nitazipeleka kwa Uongozi mzima wa Klabu yetu ya Simba SC.

Kwanini 'nalaumu' Jibu ni 'jepesi' tu kwamba kulikuwa na 'Umuhimu' gani wa Juzi 'Kuwachezesha' hawa Wachezaji 'mahiri' na 'muhimu' dhdi ya Kagera Sugar FC huku tukujiua kuwa tuna huu 'Mtanange' wetu muhimu wa Kesho Jumamosi dhidi ya Yanga SC? Kwani 'wangetumika' Wachezaji wengine ambao huwa hawapati nafasi Kikosini bado tu 'tusingeshinda' ile Juzi?

Hata hivyo nitumie nafasi hii pia 'Kuwaonya' Yanga SC ambao najua taarifa ya kwamba Chama na Mugalu hawatakuwepo kwani wametegwa sana.
UONGOZIII NDIO UNAONGEZA MAJERUHI MPWAA!!?
 
UONGOZIII NDIO UNAONGEZA MAJERUHI MPWAA!!?
Kila siku naona 'Uwendawazimu' wako unazidi tu Kuongezeka hapa Jamvini JF. Vipi bado hujapata Kitanda chako pale Hospitali ya Vichaa Dodoma?
 
Back
Top Bottom