Kama ambavyo mlifurahia walipoipa Ahadi Prisons FC iifunge Simba SC nanyi mnafanyiwa hivyo hivyo

Kama ambavyo mlifurahia walipoipa Ahadi Prisons FC iifunge Simba SC nanyi mnafanyiwa hivyo hivyo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kampuni ya Silent Ocean imeipa Ahadi ya Tsh Milioni 20 kama itashinda na Tsh Milioni 10 kama Timu ya Prisons FC itatoka Sare dhidi ya Yanga SC Jumapili ya tarehe 4 December, 2022.

Nakumbuka Kampuni hii hi ilipoiwekea Ubaoni Ahadi hii Timu ya Prisons FC ili iifunge Simba SC Watu wa Yanga SC mlifurahia mno hivyo kwa sasa mtuvumilie na Sisi wana Simba SC ambao pia tunaenda Kufurahia kile kile kinachofanywa na Kampuni hii ya Silent Ocean.

Kudadadeki.
 
Hao silent ocean nawaona ni wasanii fulani wanaotaka kuhamisha akili za watu, lakini kazi yao inajulikana wapo kwa ajili ya kumfaidisha yupi, kampuni haiwezi kuwa na uhusiano na GSM halafu itake timu yao ifungwe, hii haingii akilini kabisa.
 
Back
Top Bottom