Kama ameshakula hela za watu kwa sharti la kugombea, asipogombea atazirudishaje? Hili bila shaka ndio chanzo cha tatizo

Kama ameshakula hela za watu kwa sharti la kugombea, asipogombea atazirudishaje? Hili bila shaka ndio chanzo cha tatizo

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa mtazamo wangu, hili ndio tatizo la msingi la huyu bwana kutaka kuendelea kukakilia hicho kiti. Nina wasiwasi kuwa alishakula hela za watu kwa shariti hilo na sasa asipogombea atakuwa ameenda kinyume na makubaliano.

Kwahiyo, huyu bwana hafai hata kidogo na akirudi madarakani, basi chama sio tu kitakuwa kimekufa, bali kitakuwa ni CCM B na wabunge ataopewa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, watakuwa ni wagonga meza tu pale mjengoni.

Kwa msingi huo, tutarajie kuona matumizi makubwa ya fedha kwenye huu uchaguzi na zaidi figisu za kutosha kwa mgombea ambae anampa upinzani mkali.

NB: Kuvuliwa uongozi kwa huyu mwenyekiti mmoja, inaweza kuwa ni njama(janja) tu ya kuandaa mazingira ya kumvua uanachama mpinzani wake kabla ya siku ya uchaguzi. Hivyo, msishangae kesho akaja na malalamiko ya kudhalilishwa na mpinzani wake na kutangaza kuwa amewasilisha malalamiko yake rasimi kwenye chama.

Time will tell.
 
Kwa mtazamo wangu, hili ndio tatizo la msingi la huyu bwana kutaka kuendelea kukakilia hicho kiti. Nina wasiwasi kuwa alishakula hela za watu kwa shariti hilo na sasa asipogombea atakuwa ameenda kinyume na makubaliano.

Kwahiyo, huyu bwana hafai hata kidogo na akirudi madarakani, basi chama sio tu kitakuwa kimekufa, bali kitakuwa ni CCM B na wabunge ataopewa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, watakuwa ni wagonga meza tu pale mjengoni.

Kwa msingi huo, tutarajie kuona matumizi makubwa ya fedha kwenye huu uchaguzi na zaidi figisu za kutosha kwa mgombea ambae anampa upinzani mkali.

NB: Kuvuliwa uongozi kwa huyu mwenyekiti mmoja, inaweza kuwa ni njama(janja) tu ya kuandaa mazingira ya kumvua uanachama mpinzani wake kabla ya siku ya uchaguzi. Hivyo, msishangae kesho akaja na malalamiko ya kudhalilishwa na mpinzani wake na kutangaza kuwa amewasilisha malalamiko yake rasimi kwenye chama.

Time will tell.
Sasa CHADEMA tumeijua, kumbe imejaza matakataka hivi!?
 
Kwa mtazamo wangu, hili ndio tatizo la msingi la huyu bwana kutaka kuendelea kukakilia hicho kiti. Nina wasiwasi kuwa alishakula hela za watu kwa shariti hilo na sasa asipogombea atakuwa ameenda kinyume na makubaliano.

Kwahiyo, huyu bwana hafai hata kidogo na akirudi madarakani, basi chama sio tu kitakuwa kimekufa, bali kitakuwa ni CCM B na wabunge ataopewa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, watakuwa ni wagonga meza tu pale mjengoni.

Kwa msingi huo, tutarajie kuona matumizi makubwa ya fedha kwenye huu uchaguzi na zaidi figisu za kutosha kwa mgombea ambae anampa upinzani mkali.

NB: Kuvuliwa uongozi kwa huyu mwenyekiti mmoja, inaweza kuwa ni njama(janja) tu ya kuandaa mazingira ya kumvua uanachama mpinzani wake kabla ya siku ya uchaguzi. Hivyo, msishangae kesho akaja na malalamiko ya kudhalilishwa na mpinzani wake na kutangaza kuwa amewasilisha malalamiko yake rasimi kwenye chama.

Time will tell.
Akimvua uanachama "PATACHIMBIKA" Akijidanganya tu kumvua Lissu uanachama basi Mbowe hatakuwa na amani hata kidogo! Tutasumbuka nae kweli kweli
 
Kama yatakuwa na ushahidi na wataamua kutokutumia busara ni sawa tu. Chama kinahitaji nidhamu. CCM kwenye uchaguzi wa rais tu pamoja na wajumbe wengi kuchukua fomu hakuwa wanachafuana hivi.

Huyo anayempa hela ili agombee akifahamu fika mtu anachaguliwa kwa kupigiwa kura, sijui anawekaje rehan ya hizo fedha kuwa mtu wake ashinde.

What if wajumbe wakamkataa hata kama watampatia fedha za kuhonga.

Hizi mimi naona siasa za maji taka tu kama ambavyo lissu alikuwa anasemwa kuhongwa na mabeberu.

Tulimtetea sana, hadi kumchangia kuwa ni msimamo wake thabiti. Bado chawa walimuandama analelewa na mabeberu na kutumika dhidi ya serikali.

Likewise naona hata kwa Mbowe, hawa wote hawataweza kuiua chadema.
 
Kwa mtazamo wangu, hili ndio tatizo la msingi la huyu bwana kutaka kuendelea kukakilia hicho kiti. Nina wasiwasi kuwa alishakula hela za watu kwa shariti hilo na sasa asipogombea atakuwa ameenda kinyume na makubaliano.

Kwahiyo, huyu bwana hafai hata kidogo na akirudi madarakani, basi chama sio tu kitakuwa kimekufa, bali kitakuwa ni CCM B na wabunge ataopewa kwenye uchaguzi wa mwaka huu, watakuwa ni wagonga meza tu pale mjengoni.

Kwa msingi huo, tutarajie kuona matumizi makubwa ya fedha kwenye huu uchaguzi na zaidi figisu za kutosha kwa mgombea ambae anampa upinzani mkali.

NB: Kuvuliwa uongozi kwa huyu mwenyekiti mmoja, inaweza kuwa ni njama(janja) tu ya kuandaa mazingira ya kumvua uanachama mpinzani wake kabla ya siku ya uchaguzi. Hivyo, msishangae kesho akaja na malalamiko ya kudhalilishwa na mpinzani wake na kutangaza kuwa amewasilisha malalamiko yake rasimi kwenye chama.

Time will tell.
Tabia ya kuzushia watu maneno ya kijinga ni sehemu na utaratibu wa Lissu na genge lake.
 
Back
Top Bottom