kama anakupenda kwanini akurekodi?

kama anakupenda kwanini akurekodi?

Kwasababu gani wanandoa au wapenzi wanajiachia mpaka wanafikia kujirekodi video za uchi? Kwani mnakua hamridhiki kuangaliana bila kurekodiana?
Kwani mwaka gani itakua mwisho wa kumdharirisha mwanamke?africa inaongoza kwa kudharirisha mwanamke[emoji22][emoji22]Its hurts!
Pole sana kwa kujiskia vibaya, wenzako pale ndio wanatafuta soko.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
SI alikua analambia lips camera lakini manayake alikua anajitambua kabisa kikubwa awache ufuska tuuh
 
Kwasababu gani wanandoa au wapenzi wanajiachia mpaka wanafikia kujirekodi video za uchi? Kwani mnakua hamridhiki kuangaliana bila kurekodiana?
Kwani mwaka gani itakua mwisho wa kumdharirisha mwanamke?africa inaongoza kwa kudharirisha mwanamke[emoji22][emoji22]Its hurts!
Kwa hiyo kurekodi ni kudharirisha mwanamke! Bila kujari nani karekodi? Kazi ipo!
 
Pole sana menina..

Ila nimeangalia ile video iliovuja ni kwamba haujarekodiwa ila mmejirecord wote,unaangalia camera kwa bashasha kabisa ukiichekea na kuililia camera kimahaba ya hali ya juu. Unasimama unaenda kuiset mwenyewe halafu unakuja hapa kusema umerekodiwa???

Pole sana mzeemama
 
Pole sana menina..

Ila nimeangalia ile video iliovuja ni kwamba haujarekodiwa ila mmejirecord wote,unaangalia camera kwa bashasha kabisa ukiichekea na kuililia camera kimahaba ya hali ya juu. Unasimama unaenda kuiset mwenyewe halafu unakuja hapa kusema umerekodiwa???

Pole sana mzeemama



šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚dah
 
Yes i admit nimemuonea huruma menina kwasababu ana mtoto .. ambae anamuhitaji mama ake lakini unafikiri uyo menina atakua yuko okay?atakua over stressed mpaka mwaka uishe huu. Vile vile nimesema kuacha kuwadharirisha wanawake kwa mfano wanawake wengine ambao wanarekodiwa bila kujua utakuta a guy invited his girlfriend afu ametegesha camera..watu wengi wanarekodiwa bila kujua na wengine wanajirekodigi wenyewe kama yule biriani alijirekodi mwenyewe na wengine wote ..so in general kama watu wazima inahitajika kujiheshimu sio eti mmeachana basi ndo unapata nafaso ya kupost zile videos..
 
We utajuaje labda ile simu aliotumia ilikua ya bwana ake na amefanya ivo kwasababu ya mapenzi na kumuamini uyo mwanaume.
 
Mwanaume anaingia mahali anaangalia kila kona kama kuna camera zimefichwa kabla ya yote
Halafu nyie kiulaini mnakubali kudhalilishwa kisa eti kakuomba akurekodi how?
Kama kilikupeleka kurekodiwa bora hata ungeenda burigi
Hapo ni shughuli moja tu mambo ya camera kwenye mikutano sawa
 
Ye i admit nimemuonea huruma menina kwasababu ana mtoto ambae anamuhitaji mama ake lakini jnafikiri uyo menina atakua yuko okay?atakua over stressed mpaka mwaka uishe huu. Vile vile nimesema kuacha kuwadharirisha wanawake kwa mfano wanawake wengine ambao wanarekodiwa bila kujua utakuta a guy invited his girlfriend afu ametegesha camera..watu wengi wanarekodiwa bila kujua na wengine wanajirekodigi wenyewe kama yule biriani alijirekodi mwenyewe na wengine wote ..so in general kama watu wazima inahitajika kujiheshimu sio eti mmeachana basi ndo unapata nafaso ya kupost zile videos..
Hakuna mwanaume anaemrekodi mke wake na ku leak picha zake. Wanaorekodiwa na kusambazwa picha zao wote ni wale tu wanaofanya umalaya. Unaendaje kulala na mwanaume asiekua mume wako kisha picha/videos zako zikisambaa unata uonewe huruma really? NO. Mimi nasema wale wote wanaofanya ufuska warekodiwe na picha zao zisambae huenda wakakoma kufanya hio michezo michafu. Over
 
We utajuaje labda ile simu aliotumia ilikua ya bwana ake na amefanya ivo kwasababu ya mapenzi na kumuamini uyo mwanaume.
Mwanadamu sio was kumuamini kiiivyo. Tena istoshe n mtu unaejua ana mke na watto. Hupat picha ya kudanganyw tu?
 
We utajuaje labda ile simu aliotumia ilikua ya bwana ake na amefanya ivo kwasababu ya mapenzi na kumuamini uyo mwanaume.
Unavyoonekana una potentials za kufanya ukahaba huko mbeleni kwa kuamini kuwa TUNAPASWA KUKUHURUMIA. Mbona wanawake wanaojiheshimu hatujawaona wakirekodiwa?

Na ile ya yeye mwenyewe kudisplay makalio yake yenye alama alama kama tanga stones nayo alirekodiwa? Akili zenu hizi ni mzigo kwa taifa. Maana mnalazimisha watu wajifikirie wenyewe na bado wana zigo la kufikiri kwa ajili yenu.
 
Back
Top Bottom