figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Kila siku watu wanaelekezwa hata thread ishaanzishwa lakini bado watu wanalalamika.Kwanini isitumwe na wahusika? Wewe ni mmoja wa wahusika kwenye huu mtandao?
Nyie ndo walewale. Mumepewa link download nyie kulialia tu. Hiyo ulonayo uondoe uweke hii. Unakwama wapi?App Ya Jamiiforums Kuna Baadhi Ya Picha Huwa Inagoma Kufungua Automatic.
Hilo Tatizo Lipo Enzi Na Enzi Updates Na Updates Ila Wameshindwa
Aisee Naona Ina Exactly Appearance Na Web. Is It Official App? Ndio 3rd Party Apps.Nyie ndo walewale. Mumepewa link download nyie kulialia tu. Hiyo ulonayo uondoe uweke hii. Unakwama wapi?
View attachment 2913300
Nimekushangaa sana