Kama ASAS wangekuwa serious na kuamua kucheza na Yanga kwao au nchi nyingine, Leo tungeongea mengine

Hizi timu za kuokota zinadhalilisha sana ligi ya mabingwa afrika, we unaingia ligi ya mabingwa halafu unaomba mechi zote ucheze ugenini una akili wewe?
Wanaume wanapambana wanapigwa wewe dada Mary unakuja kusema hawakuwa serious tuliza kijambio dada na walikuwa home Leo

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Ukweli ni Kuwa Ni Yanga ndio inayojitafuta...!

Mpaka sasa inajaribu Pengine Mzize anaweza kuliziba Pengo La Mayele..!

Lkn huku Unyamani Generali Phiri ana struggle kuingia first eleven..! Kwa Uwezo ule bado anatafuta..yaani tema mate chini.!

Pale nyuma...Kuna Duchu na Mwenda...Eti hawa wanasubiri..hivi kwenye timu ipi hawa wanaweza kuwekwa Benchi TZ hii..jibu hakuna..

Achaneni na wachambuzi mchongo..!
Horoya kafa 7 hapa...Eti Timu inaitwa ASAS MAZIWA unapata only '2'...!
 
Hizi timu za kuokota zinadhalilisha sana ligi ya mabingwa Afrika, we unaingia ligi ya mabingwa halafu unaomba mechi zote ucheze ugenini una akili wewe?
We jamaa unaumia sana ...TATIZO NINI?VUMILIA TU MKUU
 
Chomoa kama INAUMA
 
Kwani Yanga si mmetoka kucheza nao juzi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Nimemwangalia kwa Makini,Kwa Sasa Tz hii Hakuna Beki anayemzidi 'Che' .... Nani?..Malon....! ktk no. anayocheza kwa Ubora.
 
Hii thread imejaa usimba na uyanga sana kiasi kwamba mazuri yanayofanywa na simba shabiki wa yanga hawezi kuyaona and vice versa,mimi ni Yanga lkn namuelewa Chama na Che Malone.

Hivi kuna team inayopiga mpira wa burudan wa pasi za chini chini hapa Tz kama Yanga, Simba mmetufunga siku zile lkna mnajua mpira tulivowachezea. Kama sie ni wabovu, ngao ya jamii mngetufunga kwenye zile 90.

Mayele hajapata mbadala wake bado lakn tuko vzuri kwenye namba zingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…