Kama atafanikiwa kwenye hili basi atakuwa ndio Rais bora katika historia ya Tanzania na huenda akakumbukwa kwa vizazi hata vizazi

Mkuu usijifanye zuzu wakati wewe una akili timamu, siyo vizuri hivyo.
Nani amekuomba katiba mpya mkuu?

Hii ni agenda ya Chadema tu ndio maana watu hawana habari
 
Kila la heri
 
Huu mradi sio urithi mkuu Wangu?

Katiba majibu Rais alishayatoa najua unakumbuka chief,
Ni urithi kwa familia ya Makamba na vibaraka wake!

Huwa wanajiangaliaga wao kwanza wale 10% nyie hata mkifa its okay mradi wao wawe salama tu!

Hio miradi ya hivyo ntashabikia kama kinachopatikana watanzania watawekewa gawio kwenye Mpesa zao kila mwezi!
 
Hakuna raisi hapo pia thamani ya huo mradi ni yakifisadi sawa sawa na kanuni za kifisadi za wawekezaji ni kawaida kuweka gharama mara 2 ya gharama halisi ili kufanikisha ufisadi ,kitu watz tunacho taka ni raisi mwenye kuangamiza mafisadi papa serikalini na wakisiasa bila ya huruma
 
Nani amekuomba katiba mpya mkuu?

Hii ni agenda ya Chadema tu ndio maana watu hawana habari
Vipi mbowe bado amja mmaliza tu sisi watu wa Jiwe legacy tunasubiri kwa hamu Gaidi linyongwe maana sisi tuna jambo letu tunalipika mpaka kieleweke ili tupate tena DICTATOR MZARENDO KAMA MAGUFULI ,Tanzania bila ya dictator mzarendo ni ndoto kupata maendeleo kwa kasi
 
Mambo makubwa manne
 

Hii id na ya mleta post inamilikiwa na mtu mmoja. Maana huwa unanijibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…