Kama Azam inaonesha channel za Startimes, kwanini Serikali isiangalie hili suala ili kutunza mazingira na kuepusha gharama kwa watanzania?

Kama Azam inaonesha channel za Startimes, kwanini Serikali isiangalie hili suala ili kutunza mazingira na kuepusha gharama kwa watanzania?

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043
IMG_20240411_104605_761.jpg


Baadhi ya mikoa Azam Antenna ilipotea hewani. Na Visimbusi hivyo vya Azam vikawa vinaonyesha Channel za Startimes.

Waelewa tatizo ni Error code 69.

Sasa kama ilivyofanyika kwenye simu kwamba simu zote zitumie type C.

Kwanini serikali isiangalie hili suala na kuruhusu watanzania kulipia subscription ya kampuni yeyote kwenye king'amuzi kimoja especially hivi vya antenna mana dish tutakuja kwenye masuala ya orientation n.k.

Hii itawaepushia gharama waTZ na vile vile itasaidia utunzaji wa mazingira, mana huko mbeleni ving'amuzi navyo vitakuwa sehemu ya uchafuzi wa mazingira.

snipa
 
umepata channel moja tu tena ya matangazo kelele telee ungepata zote ingekuaje?
 
Back
Top Bottom