Kama Azam wakishindwa kumpata kocha Julien Chevalier kutoka Asec basi Wampe timu Ongala na Mgunda ata kwa Muda

Kama Azam wakishindwa kumpata kocha Julien Chevalier kutoka Asec basi Wampe timu Ongala na Mgunda ata kwa Muda

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Kwa makocha wa Africa kwa vilabu namkubali sana huyu mfaransa Julien Chevalier. Amekua Asec kwa mafanikio makubwa kwa misimu mitano mfululizo licha ya msimu uliopita kumaliza wa 5.

amekuwa bingwa mara 4 mfululizo licha ya kuwa timu yake huuza mastaa wake wote kila mwisho wa msimu.

Mbaya na hivyo hujua kucheza kwa kusaka ushindi. Kwa wachezaji wa pale Azam Jamaa ataua.

Ligi itakuwa shindani sana. Ila kama wakishindwa kumshawishi huyo mwamba timu wawape tu wazawa wawili yani Kali Ongala na Mgunda.

kali aliiweza timu shida ikawa vyeti na unafiki wa Cadena. Na Mgunda ni mzee wa mbinu. Naamini hawa wakiaminiwa tu tutaona azam wakija kivingine kabisa.

Soma Pia: RASMI: Kocha wa Azam FC, Youssouph Dabo avunjiwa mkataba
 
CEO wa Azam mzee wa 10% hawazi kukubali maana atakosa ulaji
 
Dah SA hapo si watakuwa ni kuajiri na kufukuza apewe mda msimu huu uishe kama atatoka point 69 hadi 79 basi anafaa
Kimataifa isiwavunje moyo
Club siyo kama familia Azam fc wametumia pesa nyingi kusajili wanahitaji matokeo mazuri
 
Mgunda juzi kaongoza timu ya wanawake imetolewa hicho lilikuwa kipimo kizuri kwake
Ukiangalia ule Mpira ata marudio utagundua kuwa alihujumiwa vibaya.
Timu ilicheza vizuri sana na kuscore mara mbili. Kipa na beki wawili wakaamua kugawa ushindi kwa makusudi. Sasa mgunda angefanya nini.
Kipa anatemea adui mpira mwepesii kabisa.
 
Hao kina Mgunda unaowapendekeza walishapata mafanikio gani?
Kali ongala aliachiwa timu ya Azam kwa mechi 11 alishinda 10. Hiyo record ya juu zaidi Azam. Shida ikaja vyeti vya kuwa kocha mkuu hana. Akaambiwa aongoze timu kutokea benchi na Cadena awe kocha mkuu jina. Cadena akaitaka timu. Mtu wa fitina yule. Acha timu ijikoroge sasa.
 
Naomba nikukumbushe kua timu ni yake na sio ya wanachama. Nenda kule ambako mnasauti wanachama wake YANGA, SIMBA. Ndio upeleke hz ngonjela sw. Wahi n supu.
All the best
 
Gsm kudhamini timu 6 mnapiga yote ila Mgunda kupewa Azam ili liendelee kuwa tawi lenu mnaona fresh tu? Mgunda haaminiki maana ni mfanyakazi mtiifu wa Simba
 
Makocha kadhaa wazuri kama Omog, Stuart Hall, Hans Plujm, Lwandamina wamepita pale na timu haijafanya lolote la maana. Nadhani kuna shida nyingine sio makocha
 
Back
Top Bottom