Kama baada ya wiki mbili umeme utatengemaa. Hao wawekezaji wa nje wa nini?

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
“Tunaendelea kuwaomba ifikapo Februari 16 tutakuwa tumekamilisha majaribio kwenye bwawa la Mwalimu Nyerere na hivyo tunategemea megawati za mwanzo 215 tutaanza kuzipata [...] Tunaomba mwendelee kutuvumilia ili tuweze kukamilisha zoezi hili na hivyo kuwahakikishia mnapata umeme wa uhakika.” – Judith Kapinga, Naibu Waziri wa Nishati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…