Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Kasi ya wazazi kuwatoa watoto Wao shule za EMs kuwarejesha Kayumba inazidi kuongezeka kila siku.
Huko mtaani ni balaa mamia Kwa maelfu ya wazazi wanawatoa watoto Wao shule za EMs na kuwarudisha Kayumba.
Tayari wamesha jielewa. Tayari wamesha jua walifanya makosa. Na hawataki kufanya makosa Tena.
Cha ajabu baadhi ya wazazi hao wanapokuja hapa jamvini kushare Kwa wazazi wenzao furaha ya kufanya maamuzi mazuri kwenye maisha Yao wanajitokeza wazazi wanaosomesha Ems na kuwaambia " Huna hela" una stress nakadhalika.
Acheni hizo Bana. Kuwa na hela haimaanishi ndio uzitumie kijinga kijinga.
Wazazi wengi wanao somesha Ems ni masikini tu kama wazazi wanao somesha Kayumba. Wanao somesha international schools za mtaala wa Cambridge hao ndio wana uwezo.
Mzazi alie hamisha mtoto wake Ems na kumleta Kayumba anapo leta Uzi hapa ni moja ya relief Kwa pesa nyingi alizo poteza Ems.
Huko mtaani ni balaa mamia Kwa maelfu ya wazazi wanawatoa watoto Wao shule za EMs na kuwarudisha Kayumba.
Tayari wamesha jielewa. Tayari wamesha jua walifanya makosa. Na hawataki kufanya makosa Tena.
Cha ajabu baadhi ya wazazi hao wanapokuja hapa jamvini kushare Kwa wazazi wenzao furaha ya kufanya maamuzi mazuri kwenye maisha Yao wanajitokeza wazazi wanaosomesha Ems na kuwaambia " Huna hela" una stress nakadhalika.
Acheni hizo Bana. Kuwa na hela haimaanishi ndio uzitumie kijinga kijinga.
Wazazi wengi wanao somesha Ems ni masikini tu kama wazazi wanao somesha Kayumba. Wanao somesha international schools za mtaala wa Cambridge hao ndio wana uwezo.
Mzazi alie hamisha mtoto wake Ems na kumleta Kayumba anapo leta Uzi hapa ni moja ya relief Kwa pesa nyingi alizo poteza Ems.