Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Wakuu karibuni tuchemshe bongo.
Source ya picha ni BBC
Watu wa imani wanasema binadamu aliumbwa na Mungu na alipewa akili ya kutawala kila kitu yaani viumbe wote.
Sasa hapo juu ndio list ya wanadamu wanaouliwa na viumbe hawa tuliopewa nguvu ya kuwatawala.
SWAL I: Je, Ni kiumbe gani chini ya uso wa dunia ambacho ni hatari zaidi. ?
SWALI 2: Je, inawezakana siku isiyo na tarehe binadamu akairipua dunia nzima na akaset default na tukaanza moja ?
Kama kichwa panzi kaa pembeni na huu uzi. Sitaki zile comment za "leo umevuta bangi gani"
Nawasilisha.
Source ya picha ni BBC
Watu wa imani wanasema binadamu aliumbwa na Mungu na alipewa akili ya kutawala kila kitu yaani viumbe wote.
Sasa hapo juu ndio list ya wanadamu wanaouliwa na viumbe hawa tuliopewa nguvu ya kuwatawala.
SWAL I: Je, Ni kiumbe gani chini ya uso wa dunia ambacho ni hatari zaidi. ?
SWALI 2: Je, inawezakana siku isiyo na tarehe binadamu akairipua dunia nzima na akaset default na tukaanza moja ?
Kama kichwa panzi kaa pembeni na huu uzi. Sitaki zile comment za "leo umevuta bangi gani"
Nawasilisha.