Kama Botswana, Senegal wameweza mageuzi, lini Tanzania upinzani utashinda?

Kama Botswana, Senegal wameweza mageuzi, lini Tanzania upinzani utashinda?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Matokeo ya uchaguzi uliokwisha nchini Senegal unaonyesha chama tawala kililchopigwa chini kwenye uchaguzi wa urais uliopita, kwa mara nyingine kimebwagwa vibaya baada ya chama cha Oussumane Sonko cha PASTEF viti 131 wakati chama cha rais wa zamani cha Takku Wallu Sénégal kikiambulia viti 13 tu kkkk😛😛😛 Kama Botswana, moto wa mageuzi unazidi kuichoma Afrika.

Senegal inajiunga kwenye orodha ya mataifa ambayo vyama vyake vya muda mrefu au tawala vilizikwa. Inajiunga na Botswana, Kenya, Malawi, na Zambia.

Tunangoja kuona watanzania watajifunza nini kutoka Senegal. Uzuri wa nchi zilizoangamiza na kuzika vyama angamizi na mfu tawala hazina chawa wala kunguni.

Wananchi wake wamejitambua kiasi cha kuamua kujikomboa. Wangekuwa bongo chawa wangechomwa. Moto hata wanaowafunga, kuwatumia na kuwashabikia wakati ni chafu mtupi iwe kimaadili hata kimazingira.

Nawasilisha. Kwa HABARI ZAIDI, BONYEZA HAPA.
 
Hakuna la kujifunza kutoka nchi hizo, kwani hata mabadiliko ambayo nchi hizo zimeyafanya hayakufanikiwa kuleta hali bora kwa mataifa hayo,
-Mtoa mada tuonyeshe mfano wa nchi moja iliyopiga hatua kubwa za kimaendeleo baada ya kufanya mageuzi.
FB_IMG_17319394970790146.jpg
 
Matokeo ya uchaguzi uliokwisha nchini Senegal unaonyesha chama tawala kililchopigwa chini kwenye uchaguzi wa urais uliopita, kwa mara nyingine kimebwagwa vibaya baada ya chama cha Oussumane Sonko cha PASTEF viti 131 wakati chama cha rais wa zamani cha Takku Wallu Sénégal kikiambulia viti 13 tu kkkk😛😛😛 Kama Botswana, moto wa mageuzi unazidi kuichoma Afrika. Senegal inajiunga kwenye orodha ya mataifa ambayo vyama vyake vya muda mrefu au tawala vilizikwa. Inajiunga na Botswana, Kenya, Malawi, na Zambia. Tunangoja kuona watanzania watajifunza nini kutoka Senegal. Uzuri wa nchi zilizoangamiza na kuzika vyama angamizi na mfu tawala hazina chawa wala kunguni. Wananchi wake wamejitambua kiasi cha kuamua kujikomboa. Wangekuwa bongo chawa wangechomwa. moto hata wanaowafunga, kuwatumia na kuwashabikia wakati ni chafu mtupi iwe kimaadili hata kimazingira.
Nawasilisha. Kwa HABARI ZAIDI, BONYEZA HAPA.
Wewe mwenyewe kazi kuandika tu uhalisia hujajiandikisha wala kura hupigi unategemea nini!
 
Hakuna la kujifunza kutoka nchi hizo, kwani hata mabadiliko ambayo nchi hizo zimeyafanya hayakufanikiwa kuleta hali bora kwa mataifa hayo,
-Mtoa mada tuonyeshe mfano wa nchi moja iliyopiga hatua kubwa za kimaendeleo baada ya kufanya mageuzi.
Botswana
 
Shida sio wapinzani kushinda kuangusha chama tawala tuje tupime tu je leo hii watu wako katika hali bora kuliko waliotoka? unaweza kuwa na watawala wapya ukaja kusema bora ya wale hawa ndio hawafai kabisa. Nchi za Middle east wakati wa mapinduzi watu walishangiliana sana mitaani leo hii ukiwauliza tena wanasema bora ya wale mara alfu.
 
Tatizo tulilonalo Tanzania ni wapinzani wasiojielewa wanaonunulika kama nyanya.
Watu wasiokuwa na msimamo mwalimu aliwaita malaya wa kisiasa.
 
Shida sio wapinzani kushinda kuangusha chama tawala tuje tupime tu je leo hii watu wako katika hali bora kuliko waliotoka? unaweza kuwa na watawala wapya ukaja kusema bora ya wale hawa ndio hawafai kabisa. Nchi za Middle east wakati wa mapinduzi watu walishangiliana sana mitaani leo hii ukiwauliza tena wanasema bora ya wale mara alfu.
Si kweli. Tanzania tunapogeuzwa machawa, binadamu wazima, ujue kuna tatizo kubwa t u.
 
Tatizo tulilonalo Tanzania ni wapinzani wasiojielewa wanaonunulika kama nyanya.
Watu wasiokuwa na msimamo mwalimu aliwaita malaya wa kisiasa.
je nyinyi mnaowalaumu wapinzani mnajielewa na kuwaelewa?
 
Matokeo ya uchaguzi uliokwisha nchini Senegal unaonyesha chama tawala kililchopigwa chini kwenye uchaguzi wa urais uliopita, kwa mara nyingine kimebwagwa vibaya baada ya chama cha Oussumane Sonko cha PASTEF viti 131 wakati chama cha rais wa zamani cha Takku Wallu Sénégal kikiambulia viti 13 tu kkkk😛😛😛 Kama Botswana, moto wa mageuzi unazidi kuichoma Afrika. Senegal inajiunga kwenye orodha ya mataifa ambayo vyama vyake vya muda mrefu au tawala vilizikwa. Inajiunga na Botswana, Kenya, Malawi, na Zambia. Tunangoja kuona watanzania watajifunza nini kutoka Senegal. Uzuri wa nchi zilizoangamiza na kuzika vyama angamizi na mfu tawala hazina chawa wala kunguni. Wananchi wake wamejitambua kiasi cha kuamua kujikomboa. Wangekuwa bongo chawa wangechomwa. moto hata wanaowafunga, kuwatumia na kuwashabikia wakati ni chafu mtupi iwe kimaadili hata kimazingira.
Nawasilisha. Kwa HABARI ZAIDI, BONYEZA HAPA.
Sisi miaka 500 ijayo kuwa na subira.
 
Changamoto ni Tume ya Uchaguzi ya Tozonia na vyombo vya ulinzi na usalama vya Tozonia hao ndio masnitch wanaokwamisha kuwatoa mboga mboga madarakani.
 
Jambo lisiloeleweka na wengi ni kwamba viongozi wengi 99%,ya viongozi wa vyama vya upinzani ni njaa zaidi zinazowasumbua, ukitaka kuamini wateue tu, (fasta wanaubwaga upinzani wenyewe)
 
Tatizo tulilonalo Tanzania ni wapinzani wasiojielewa wanaonunulika kama nyanya.
Watu wasiokuwa na msimamo mwalimu aliwaita malaya wa kisiasa.
Uko sahihi,hatujapata upinzani ulio serious kabisa.
Wote ni waviziaji wa fursa zao binafsi wakishahakikishiwa shibe wanageuka
 

Attachments

  • Screenshot_20241115_092007_Facebook.jpg
    Screenshot_20241115_092007_Facebook.jpg
    147.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom