Kama Bush na Wamarekani hawajainunua Kigamboni kama inavyozidi kuenezwa Mamlaka ikanushe tafadhali

Kama Bush na Wamarekani hawajainunua Kigamboni kama inavyozidi kuenezwa Mamlaka ikanushe tafadhali

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na kama ni kweli nitahitaji majibu, kwanini wamepewa eneo la beach jirani na waliko mabaka mabaka na eneo lisilo mbali kimkakati na Jumba kubwa analolala Mama na Baba yetu Hafidhi.
 
Wewe unazungumzia suala la Kigamboni? FYI: Marekani inahesabu Tanzania na mataifa mengine almost yote ya Afrika & dunia kama vimiji ambavyo kwa pamoja vinaunda jimbo lake la 51.

Ndiyo maana USA kuna kitu fiche na cha siri kubwa kinaitwa AREA 51. Hii ni code ya Global Monopolization aka New World Order.
 
Wewe unazungumzia suala la Kigamboni? FYI: Marekani inahesabu Tanzania na mataifa mengine almost yote ya Afrika & dunia kama vimiji ambavyo kwa pamoja vinaunda jimbo lake la 51.

Ndiyo maana USA kuna kitu fiche na cha siri kubwa kinaitwa AREA 51. Hii ni code ya Global Monopolization aka New World Order.
Chana na story za Area 51 hakunaga kitu kama hicho
 
Hafidh halali pale kudadeki zake, mama mwenyewe mara moja moja sana, mara nyingi analala magetoni kwake pale mkabala na Coco beach.
 
Unaijua USA wewe?bush na familia yake kule Texas wanamiliki eneo sawa na wilaya ya Kongwa yote sasa ya nini kuhangaika na uchafu wa kigamboni,ungeniambia serikali ya Marekani sawa maana wao wanaweza kuhitaji eneo dogo kwa ajili ya maslahi yao ya kiulinzi,Bush hana serikali wala dola,
 
Back
Top Bottom