GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Na kama ni kweli nitahitaji majibu, kwanini wamepewa eneo la beach jirani na waliko mabaka mabaka na eneo lisilo mbali kimkakati na Jumba kubwa analolala Mama na Baba yetu Hafidhi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chana na story za Area 51 hakunaga kitu kama hichoWewe unazungumzia suala la Kigamboni? FYI: Marekani inahesabu Tanzania na mataifa mengine almost yote ya Afrika & dunia kama vimiji ambavyo kwa pamoja vinaunda jimbo lake la 51.
Ndiyo maana USA kuna kitu fiche na cha siri kubwa kinaitwa AREA 51. Hii ni code ya Global Monopolization aka New World Order.