CHIEF MASALAKULANGWA
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 794
- 648
Maridhiano ni TABIA YA WAUNGWANA NA WASTAARABU!Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
CCM hawakupata hizo kura,waliiba kwa kuandika tu figures wanazotaka.Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
Imekufa Ni nguvu ya police na mahakama. Subiri aje waLakini ccm bado ipo!
Wapinzani walishindwaje kuiba?CCM hawakupata hizo kura,waliiba kwa kuandika tu figures wanazotaka.
Ata wanafunzi wa primary wanajua hili,wewe uko nchi gani?
Isingekuwa wizi CCM isingefika ata asilimia 30.
Unaelewa maana ya Chama Dola?Imekufa Ni nguvu ya police na mahakama. Subiri aje wa
Maridhiano kwa ajili ya kuridhiana ili wapate Muafaka wa Kitaifa kwa Ajili ya Mama Tanzania (Mbatia).Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
Mbele ya polisi nanrisasi za Moto. Sandarusi za maiti Coco Beach, Ben saanane, Azory, MKIRU, umesahau? Wote wameuawa na Jiwe. Kisasi kitaanzia hapo.Wapinzani walishindwaje kuiba?
Tanganyika hakuna utamaduni wa kuridhiana!Maridhiano kwa ajili ya kuridhiana ili wapate Muafaka wa Kitaifa kwa Ajili ya Mama Tanzania (Mbatia).
Polisi na majeshi yote yalikuwa upande wa CCMWapinzani walishindwaje kuiba?
Mbona 2015 Kilombero Chadema iliiba kura kwa mujibu wa mbunge aliyeshinda Lijualikali?Mbele ya polisi nanrisasi za Moto. Sandarusi za maiti Coco Beach, Ben saanane, Azory, MKIRU, umesahau? Wote wameuawa na Jiwe. Kisasi kitaanzia hapo.
Ila kuna utamaduni wa akina Ben saanane, Azory , sandarusi za maiti Coco Beach ,MKIRU huo upoTanganyika hakuna utamaduni wa kuridhiana!
Lijuakali kwa sasa ni mwanachama wa CCM ivyo ataongea lolote kujipendekeza,ukizingatia kuwa kuingia CCM sharti ubongo uache mlangoni.Mbona 2015 Kilombero Chadema iliiba kura kwa mujibu wa mbunge aliyeshinda Lijualikali?
Yaa wewe unafikiri vizuri na sahihi. Hapa kuna uchaguzi. Umeshindwa vibaya halafu unataka maridhiano eti ya kitaifa[emoji23]. Maana ya demokrasia ni nini? Maridhiano ya nini? Ina maana nikubaliane na sera zako na kuwaingiza serikali wakati umeshindwa kura vibaya? Au maridhiano ya kuwaachia wafungwa au fisadi au nini. Yaani chadema ni chama cha ajabu.[emoji23][emoji23]
Huu ulikua UCHAFUZI.... Tukifanya UCHAGUZI, majibu yatakuja tofauti Sana.
Hatari Sana.View attachment 2000822
Ulikuwa ujambazi
Iliiba haikupata kura hizo,ndio chizi alibaki dodoma kuiba kura na kujitangaza,maendeleo hayana chamaTakwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
Akili yako haina akili, umeshindwa hata kumuelewa CCM mwenzio, ndio basi tena.Ngoja wale Wana Sacco's wa mtaa wa ufipa waje kutoa mapovu
Maridhiano na hao magaidi ni kupoteza muda tu. Saccos yenyewe imekongoroka, imebaki dhofulhali.Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
Simba hana kuchoka bwashee!Maridhiano na hao magaidi ni kupoteza muda tu. Saccos yenyewe imekongoroka, imebaki dhofulhali.