The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
huwa nasikiaga wanajitapa namna iyo. kwamba wao ni chama rafiki cha ANC cha gwiji Madiba. lakini nimeshituka niliposikia wanmekopi katiba ya kenya. kwa nini? why kenya? kwa nini wasikopi ya rafiki yao ANC?
http://www.servat.unibe.ch/icl/sf00t___.html
http://www.servat.unibe.ch/icl/sf00t___.html