Kama CCM walishindwa kutuletea vazi la taifa, wataweza katiba...

Kama CCM walishindwa kutuletea vazi la taifa, wataweza katiba...

Tuko

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
11,180
Reaction score
7,346
Michakato ya katiba mpya na vazi la taifa yote inaongozwa na serikali ya CCM. Tumeona ule wa vazi la taifa pamoja na kutumia mamia ya mamilioni ya wapiga kura, ulikufa kibudu.
Nilishasema tena kuwa serikali ya CCM haina uwezo wa kuleta katiba mpya, huu mchakato unaoendelea pengine tuuite "kula tizi"...
Kama wameshindwa tu mchakato wa vazi la taifa, itakuwa miujiza kusimamia mchakato wa katiba mpya...
 
Back
Top Bottom