Kama CCM wanadhani ya CHADEMA ni comedy na wanashadadia, basi wasubirie mchelea mwana hubeba jiwe

Kama CCM wanadhani ya CHADEMA ni comedy na wanashadadia, basi wasubirie mchelea mwana hubeba jiwe

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Huu moto wa CHADEMA ni Kuni za moto wa kijani ndani ya CCM kati ya Tanganyika na Zanzibar.

Tutaongea lugha moja ya kupindua meza na kurejesha mamlaka na kufanya marekebisho ya katiba haraka sana.

Embe chini ya mnazi haitatokea Tena.

Sio mimi ni malaika wa bwana wameona mbali.

Pang Fung Mi
 
Huu moto wa CHADEMA ni Kuni za moto wa kijani ndani ya CCM kati ya Tanganyika na Zanzibar.

Tutaongea lugha moja ya kupindua meza na kurejesha mamlaka na kufanya marekebisho ya katiba haraka sana.

Embe chini ya mnazi haitatokea Tena.

Sio mimi ni malaika wa bwana wameona mbali.

Pang Fung Mi
Methali Umeikosea Kidogo..
Mchelea mwana Kulia Hulia mwenyewe
Asiye na Mwana hueleka Jiwe
 
Huu moto wa CHADEMA ni Kuni za moto wa kijani ndani ya CCM kati ya Tanganyika na Zanzibar.

Tutaongea lugha moja ya kupindua meza na kurejesha mamlaka na kufanya marekebisho ya katiba haraka sana.

Embe chini ya mnazi haitatokea Tena.

Sio mimi ni malaika wa bwana wameona mbali.

Pang Fung Mi
Chadema hihi iliyo mpokea luwasa
 
Huu moto wa CHADEMA ni Kuni za moto wa kijani ndani ya CCM kati ya Tanganyika na Zanzibar.

Tutaongea lugha moja ya kupindua meza na kurejesha mamlaka na kufanya marekebisho ya katiba haraka sana.

Embe chini ya mnazi haitatokea Tena.

Sio mimi ni malaika wa bwana wameona mbali.

Pang Fung Mi
Chaguo letu ni Mh Lissu.
 
Back
Top Bottom