Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Huu moto wa CHADEMA ni Kuni za moto wa kijani ndani ya CCM kati ya Tanganyika na Zanzibar.
Tutaongea lugha moja ya kupindua meza na kurejesha mamlaka na kufanya marekebisho ya katiba haraka sana.
Embe chini ya mnazi haitatokea Tena.
Sio mimi ni malaika wa bwana wameona mbali.
Pang Fung Mi
Tutaongea lugha moja ya kupindua meza na kurejesha mamlaka na kufanya marekebisho ya katiba haraka sana.
Embe chini ya mnazi haitatokea Tena.
Sio mimi ni malaika wa bwana wameona mbali.
Pang Fung Mi