Kama CHADEMA wanaona Polisi hawakuwa na sababu za msingi kuzuia maandamano ya amani, kitu gani kinawazuia kuwafikisha Polisi Mahakamani?

Kama CHADEMA wanaona Polisi hawakuwa na sababu za msingi kuzuia maandamano ya amani, kitu gani kinawazuia kuwafikisha Polisi Mahakamani?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?
 
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?
Mkuu utaratibu unakuwaje ukitaka kulishitaki jeshi la polisi mahamani?
 
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?
Wamewaurumia sababu IGP na Masauni wana kesi nyingi mahakamani, wapambane na hizo kwanza.
 
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?
Makonda alikwisha sema msiziamini mahakama za Tanzania.
 
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?

Makonda na Rostam walishasema hakuna haki mahakamani.
 
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?
Mahakama zipi
 
Polisi wanasema waliyazuia maandamano ya Chadema, yaliyotakiwa kuwa ya amani, kwa sababu walikuwa na habari za intelijensia kwamba Chadema walikuwa wamepanga kufanya vurugu. Sawa, kama ni kweli Polisi walikuwa na haki ya kuyazuia hayo maandamano.

Lakini sasa, kwa kuwa maandamano ni haki ya kikatiba ya Chadema, kama Polisi wameibuka tu na kutoa visingizio na sababu za uongo katika kuzuia maandamano, labda kwa sababu kulikuwa na amri toka juu, kitu gani kinawazuia Chadema kwenda Mahakamani kuwafikisha Polisi (hususa IGP na Waziri wa Mambo ya Ndani) mahakamani, na hata kuwadai fidia?

Kwa nini Chadema wasiende mahakamani ili Polisi waotoe ho ushahidi na kuiridhisha mahakama kwamba kweli Chadema walipanga kufanya fujo ndio maana wakayazuia maandamano?
Mahakama zipi🤣🤣
 
Si kila mtu angeenda mkuu wangu? Hapo DPP hahusiki kutoa ruhusa?
Kuna mambo mawili, aidha ni ukosefu wa Watanzania kujua haki zao za kisheria, au ni uvivu tu wa Watanzania katika kufuatilia haki zao. Na tunakiri kwamba process kama za kumfungulia mashitaka IGP na Waziri wa Sheria zina ugumu wake kwa sababu kuna vipingamizi za ki-process ambazo serikali imejiwekea ili isiwe inafunguliwa mashitaka kila wakati.

Kwa mfano, unajua kwamba kwa kuwa kila lita ya mafuta ya gari unayonunua unachangia fedha za TANROADS kurekebisha barabara? Sasa unajua kwamba ukipata ajali inayotokana na ubovu wa barabara unaweza kuwashitaki TANROADS na kuwadai fidia kwa sababu wakati wewe umetekeleza sehemu yako wao walichukua fedha zako lakini hawakurekeisha barabara hadi ukapata ajali? Sasa ulishasikia kuna mtu Tanzania kawafungulia mashitaka TANROADS?
 
Back
Top Bottom