Kama CHADEMA wanashindwa kusimamia chaguzi zao, wataweza kusimamia nini?

Kama CHADEMA wanashindwa kusimamia chaguzi zao, wataweza kusimamia nini?

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Kama kichwa kinavyojieleza, CHADEMA wanaendelea kutuonesha kuwa hakuna wanaloliweza.

1. Uongozi wa kifalme: Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu. Hili ni tatizo katika uongozi wao. Hata kama katiba yao inamruhusu, angekuwa wa kwanza kupinga katiba ya namna hiyo.

2. Rafu, rushwa imetamalaki huko kwao na hakuna wa kukemea.

Huu ni udhaifu mkubwa sana.

Naomba Serikali ifute ruzuku za vyama vya siasa.
 
CHADEMA mnazingua mjue,nilianza kupata mashaka walivyoshindwa kuihandle issue ya wale wabunge wa viti maalum.
Kwa nn mnashindwa kuwa smart Kwa kuyamaliza mambo yenu ya ndani kimyakimya kama wqnavyofanya CCM?
Ukombozi wa nchi hii Una safari ndefu mno
 
Ccm ni kama maiti iliyozikwa ardhini halafu chadema ni kama maiti iliyopo mochwari.
ZOTE NI MAITI.
 
Kama kichwa kinavyojieleza, CHADEMA wanaendelea kutuonesha kuwa hakuna wanaloliweza.

1. Uongozi wa kifalme: Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu. Hili ni tatizo katika uongozi wao. Hata kama katiba yao inamruhusu, angekuwa wa kwanza kupinga katiba ya namna hiyo.

2. Rafu, rushwa imetamalaki huko kwao na hakuna wa kukemea.

Huu ni udhaifu mkubwa sana.

Naomba Serikali ifute ruzuku za vyama vya siasa.


Tuache uzushi hata CCM kuna wangapi wanashinda na kukatwa! Hawa wamefanya mpaka mdahalo kura zimepigwa wazi! utalinganisha na ule utaratibu wa mgombea wa 4 kuchaguliwa. Gwajima alikuwa wangapi kwenye kura!
 
Ccm mwendokasi tu imewashinda kuiendesha . Bandari pia serikali imeshindwa kuiendesha . Tanzania ni nchi iliyofeli ikiwa kwenye utawala wa ccm . Chadema yupo Lissu na Msigwa at least wanaonyesha bado wanapumua .
 
Kama kichwa kinavyojieleza, CHADEMA wanaendelea kutuonesha kuwa hakuna wanaloliweza.

1. Uongozi wa kifalme: Mbowe amekuwa mwenyekiti wa kudumu. Hili ni tatizo katika uongozi wao. Hata kama katiba yao inamruhusu, angekuwa wa kwanza kupinga katiba ya namna hiyo.

2. Rafu, rushwa imetamalaki huko kwao na hakuna wa kukemea.

Huu ni udhaifu mkubwa sana.

Naomba Serikali ifute ruzuku za vyama vya siasa.
Ila sisi wapinzani wa CHADEMA tunapotoa fomu moja tu kwa nafasi inayogombewa ni sawa!
 
Tuache uzushi hata CCM kuna wangapi wanashinda na kukatwa!
Chadema haipaswi kulinga mbele za wananchi kwa kufanya maovu kama ya ccm. Kufanya hivyo ni kuondoa uhalali wa uwepo wake kama chamq mbadala.
 
Ccm mwendokasi tu imewashinda kuiendesha . Bandari pia serikali imeshindwa kuiendesha . Tanzania ni nchi iliyofeli ikiwa kwenye utawala wa ccm . Chadema yupo Lissu na Msigwa at least wanaonyesha bado wanapumua .
Mwendo kasi kweli imewashinda? Nasikia LATRA imerudisha route ya daladala ya Mbezi Kariakoo kwa sababu UDART wameshindwa kazi. Hivi hawa wanaweza kuiba mali ya umma tu na kuiba kura peke yake kweli?
 
Chadema haipaswi kulinga mbele za wananchi kwa kufanya maovu kama ya ccm. Kufanya hivyo ni kuondoa uhalali wa uwepo wake kama chamq mbadala.
Ni ushamba tu wa demokrasia mgombeaji kulalamika ni kitu cha kawaida kwenye demokrasia na inaonyesha demokrasia kukuwa. Lakini wewe huwezi kuwa mshabi wa chama ambacho watu wanateuliwa bila kujali kura na kupiga dongo wengine ambao wameweka kura za wazi na mdahalo. Yaani nani mwenye demokrasia kati ya hao. CCM mtu kama wa nne leo ni mbunge!! yaani kashidwa ndani ya chama lakini kachaguliwa kwa mahusiano halafu uchaguzi mkuu kaibiwa kura waziwazi kama Gwajima halafu wajinga jinga mnashinda kuongelea uchaguzi mmoja wa kanda wa chama kingine! badala ya wabunge fake ambao wanauza bandari ! halafu tukisema upeo kwa vijana umepungua mnabisha kweli!
 
Ni ushamba tu wa demokrasia mgombeaji kulalamika ni kitu cha kawaida kwenye demokrasia na inaonyesha demokrasia kukuwa. Lakini wewe huwezi kuwa mshabi wa chama ambacho watu wanateuliwa bila kujali kura na kupiga dongo wengine ambao wameweka kura za wazi na mdahalo. Yaani nani mwenye demokrasia kati ya hao. CCM mtu kama wa nne leo ni mbunge!! yaani kashidwa ndani ya chama lakini kachaguliwa kwa mahusiano halafu uchaguzi mkuu kaibiwa kura waziwazi kama Gwajima halafu wajinga jinga mnashinda kuongelea uchaguzi mmoja wa kanda wa chama kingine! badala ya wabunge fake ambao wanauza bandari ! halafu tukisema upeo kwa vijana umepungua mnabisha kweli!
Anachokimaanisha ni kwamba chadema wana moral obligation ya kukemea rusha kwenye chaguzi zao.
 
CHADEMA mnazingua mjue,nilianza kupata mashaka walivyoshindwa kuihandle issue ya wale wabunge wa viti maalum.
Kwa nn mnashindwa kuwa smart Kwa kuyamaliza mambo yenu ya ndani kimyakimya kama wqnavyofanya CCM?
Ukombozi wa nchi hii Una safari ndefu mno
Watu wamepelekwa bungeni na serikali, ulitaka CHADEMA wafanyeje?. Lawama zingine hazina maana.
 
Back
Top Bottom