Pre GE2025 Kama CHADEMA wenyewe wanasema Lissu hafai kuongoza chama, Watanzania tusimpe kuongoza nchi

Pre GE2025 Kama CHADEMA wenyewe wanasema Lissu hafai kuongoza chama, Watanzania tusimpe kuongoza nchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wasiwasi ndio akili. Chadema leo wamekuja hadharani na kutamka kwamba Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa chama chao. Chadema wanasema Lissu lazima awe chini ya mtu Yaani mwenyekiti.

Kwa mazingira haya, nani ampigie kura kumkabidhi urais? Wanaoishi naye wanasema hafai kabisa kuwa kiongozi mkuu, sisi nani turuhusu awe mkuu wa nchi?

CHADEMA wenye nia njema tuungane kuhakikisha huyu jamaa hasogelei jumba letu la ikulu. Hata ikibidi kumfuta uanachama katika Tawi lake
 
wkt Dk Slaa akijiandaa kugombea urais kupitia chadema mkononi mwake Dk alikuwa na list ya Mafisadi akitaka iyo kist kuinad kipindi cha uchaguzi ktk iyo list yumo mzee EDO rip Edward Lowassa tukaona mvurugano chadema kikao kinafanyika bahari beach amadi Edward ndio akawa mshika kibendera cha upinzani kupitia chadema mm nilishangaa sana vip tena mzee EDO lkn nikasema hii picha sio poa ngoja tusubili siku chache zijazo tutapata mwelekeo kweli tukaona DK SLAA kashuka njian na kusema safari ya kuitoa CCM Madarakani naiyalisha afadhali tubaki na CCM nikapigwa butwaaa zaid lkn nikasubili kifuatacho ikawa kweli Edward Lowassa ndio mgombeya wa urais wa CHADEMA na ndugu Lisu akawa mtu aliezunguka na Edward Lowassa maeneo yate ya nchi hii kumuombea kura sijui kaka yangu LISU alilamba asali au ndio uzalendo wake wakupinga rushwa akachukua chochote!!!! Binafsi nimeona nikumbushe ili jambo watanzania wakumbuke na wengine wajue waliokuwa awajui uchaguzi wa CHADEMA tunawaomba wagombea wote watunze haki ya upinzani wasiwe wabinafsi ukishindwa kubali mpongeze mwenzio ili waTanzania tuone utofaut kutoka kwenu lkn ikiwa mmoja atashindwa na kuamua kumwaga mboga kuponda uchaguzi kuponda kila zuli lililokuwepo sasa waTanzania tutawaelewaje ikiwa nyinyi kila uchaguzi mnadai CCM imeiba!!! lkn ata uchaguzi wenu pia matokea amtaki kuyakubali kuwa ndio democracy yenyewe yani adi ushinde ww ndio uchaguzi ulikuwa huru na haki ukishindwa hoooo wajumbe hooo kura asikuesabiwa vizuli haaaaa jamani itafika wakati waTanzania tutaomba kura ya maoni upya ili tuvifute vyama vingi mana sasa tutajua ni uwuni tu akuna upinzani wa kumsaidia m'Tanzania tunaomba uchaguzi wa amani Mbowe wetu LISU wetu aman itawale. Mungu awatangulie iwe mfano wa kwanza uchaguzi wagombea wa upinzani kuwa kitu kimoja ata baada ya matokea kutangazwa!!! WaTanzania tumechoka kusikia mkinangana adhalani watu wakubwa mmekomaa kisiasa.
 
Kua mpole. Acha Kura ziongee

FAM na kijiji chake mtafute chama kingine kama hamtakubali matokeo au CDM itafika ukingoni
 
Wasiwasi ndio akili. Chadema leo wamekuja hadharani na kutamka kwamba Lissu hafai kuwa mwenyekiti wa chama chao. Chadema wanasema Lissu lazima awe chini ya mtu Yaani mwenyekiti.

Kwa mazingira haya, nani ampigie kura kumkabidhi urais? Wanaoishi naye wanasema hafai kabisa kuwa kiongozi mkuu, sisi nani turuhusu awe mkuu wa nchi?

CHADEMA wenye nia njema tuungane kuhakikisha huyu jamaa hasogelei jumba letu la ikulu. Hata ikibidi kumfuta uanachama katika Tawi lake
Chadema ipi unaiongelea? Au unawasemea hawa machawa wa mbowe na ccm?
 
Back
Top Bottom