Kama CHADEMA ya sasa ndio ina vijana wa namna hii basi kazi ipo!

Kama CHADEMA ya sasa ndio ina vijana wa namna hii basi kazi ipo!

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Mwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake,

hakika CHADEMA ina watu smart sana

IMG_20220331_113730.jpg
 
Mbona ameuliza swali zuri sana....?!

Unapokuwa unafungamana na taifa moja au upande m'moja, ule upande ukiathirika basi na wewe utaathirika na hautakuwa na pa kukimbilia. Ila kama haufungamani na popote ni raisi pale yanapokusibu makubwa utaweza kwenda kuomba msaada upande mwingine haraka sana.
 
CHADEMA ilikufa tangu awamu ya tano!

Ndio wanajikusanya sasa waanze upya.

No wonder hata hoja zao za kitoto.
 
Umeandika kishambenga sana, mwanasiasa "nguli" na "muhimu sana" ndani ya Chadema?!

Huyo mtoto wa kike bado mbichi ndio anajifunza mambo, mbona huko kwenu hadi wazee wanakosea?
🤣🤣🤣kweli kishambenga shambenga!!!!
 
Yupo sahihi, mfano issue ya mafuta. Russia pipa wanauza $30, Kama hatufungamani inapaswa kununua huko Kama India wanavyofanya
Hayo ni mafuta ghafi,hayajasafishwa,hujasafirisha.Kuna gharama ya kusafirisha,kuna gharama ya kusafirisha,bado kodi mbalimbali,pia hazijajunlishwa.
 
Umeandika kishambenga sana, mwanasiasa "nguli" na "muhimu sana" ndani ya Chadema?!

Huyo mtoto wa kike bado mbichi ndio anajifunza mambo, mbona huko kwenu hadi wazee wanakosea?
Wabichi,ndio wanatakiwa,wawe na elimu,wawendana na wakati wao,wa sasa.Wajuwe dunia inakwendaje.
 
Umeandika kishambenga sana, mwanasiasa "nguli" na "muhimu sana" ndani ya Chadema?!

Huyo mtoto wa kike bado mbichi ndio anajifunza mambo, mbona huko kwenu hadi wazee wanakosea?
Mbichi gani huyu kigagula

USSR
 
Back
Top Bottom