Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hao hao hata CCM wapoMwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake,
hakika CHADEMA ina watu smart sana
View attachment 2170172
ALIKUFA ALIYETAKA KUIUACHADEMA ilikufa tangu awamu ya tano!
Ndio wanajikusanya sasa waanze upya.
No wonder hata hoja zao za kitoto.
CHADEMA inapumulia mashine.ALIKUFA ALIYETAKA KUIUA
🤣🤣🤣kweli kishambenga shambenga!!!!Umeandika kishambenga sana, mwanasiasa "nguli" na "muhimu sana" ndani ya Chadema?!
Huyo mtoto wa kike bado mbichi ndio anajifunza mambo, mbona huko kwenu hadi wazee wanakosea?
Hayo ni mafuta ghafi,hayajasafishwa,hujasafirisha.Kuna gharama ya kusafirisha,kuna gharama ya kusafirisha,bado kodi mbalimbali,pia hazijajunlishwa.Yupo sahihi, mfano issue ya mafuta. Russia pipa wanauza $30, Kama hatufungamani inapaswa kununua huko Kama India wanavyofanya
Wabichi,ndio wanatakiwa,wawe na elimu,wawendana na wakati wao,wa sasa.Wajuwe dunia inakwendaje.Umeandika kishambenga sana, mwanasiasa "nguli" na "muhimu sana" ndani ya Chadema?!
Huyo mtoto wa kike bado mbichi ndio anajifunza mambo, mbona huko kwenu hadi wazee wanakosea?
Ndio gawa vilaza,aliwataja JPM.Mwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake,
hakika CHADEMA ina watu smart sana
View attachment 2170172
Point tupuMwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake,
hakika CHADEMA ina watu smart sana
View attachment 2170172
Siyo kwamba hawajui wanajua sn na wananunua huko huko huku wanauza mara 5 ya beiYupo sahihi, mfano issue ya mafuta. Russia pipa wanauza $30, Kama hatufungamani inapaswa kununua huko Kama India wanavyofanya
Ukitaka kuposti kila kitu unajikuta unapost ujinga tuMwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake,
hakika CHADEMA ina watu smart sana
View attachment 2170172
Mbichi gani huyu kigagulaUmeandika kishambenga sana, mwanasiasa "nguli" na "muhimu sana" ndani ya Chadema?!
Huyo mtoto wa kike bado mbichi ndio anajifunza mambo, mbona huko kwenu hadi wazee wanakosea?