Yohimbine JF-Expert Member Joined Jan 6, 2019 Posts 873 Reaction score 1,841 Mar 31, 2022 #21 Mfumo wa siasa Tanzania ni hivi ukiwa Team A unatakiwa kupinga jambo lolote la Team B haijalishi ni nini…Sio Chadema wala CCM kwenye swala la utashi kwenye siasa kwa vijana nyakati hizi za karibuni wote hamna kitu..
Mfumo wa siasa Tanzania ni hivi ukiwa Team A unatakiwa kupinga jambo lolote la Team B haijalishi ni nini…Sio Chadema wala CCM kwenye swala la utashi kwenye siasa kwa vijana nyakati hizi za karibuni wote hamna kitu..
mdudu JF-Expert Member Joined Feb 6, 2014 Posts 7,013 Reaction score 10,000 Mar 31, 2022 #22 Lord OSAGYEFO said: ALIKUFA ALIYETAKA KUIUA Click to expand... ??
ras jeff kapita JF-Expert Member Joined Jan 4, 2015 Posts 22,152 Reaction score 33,899 Mar 31, 2022 #23 ngebe said: Mwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake, hakika CHADEMA ina watu smart sana View attachment 2170172 Click to expand... Huyu dada ameandika ujinga wa hali ya juu.. hv alifika darasa la ngapi huyu!! aibu
ngebe said: Mwanasiasiasa nguli na muhimu sana ndani ya Bavicha, Hilda Newton anaomba ajibiwe swali lake, hakika CHADEMA ina watu smart sana View attachment 2170172 Click to expand... Huyu dada ameandika ujinga wa hali ya juu.. hv alifika darasa la ngapi huyu!! aibu
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 Mar 31, 2022 #24 Sang'udi said: CHADEMA ilikufa tangu awamu ya tano! Ndio wanajikusanya sasa waanze upya. No wonder hata hoja zao za kitoto. Click to expand... Kaburi liko wapi mkuu?
Sang'udi said: CHADEMA ilikufa tangu awamu ya tano! Ndio wanajikusanya sasa waanze upya. No wonder hata hoja zao za kitoto. Click to expand... Kaburi liko wapi mkuu?