Kama chasis za pikipiki za kichina zingeboreshwa wangeuza sana

Kama chasis za pikipiki za kichina zingeboreshwa wangeuza sana

Chief Wingia

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
2,653
Reaction score
4,744
Habari zenu wakuu natumai muwaziwa wa afya.

Nikijikita kwenye mada husika ninaposema pikipiki za kichina hapa namanisha KINGLION, FEKON, SINORAY, HAOJUE n.k.

Maana kwa huku mkoani hizi ndio pikipiki pendwa kwa bodaboda tofauti na jijini Dar kwenye TVS & Boxer.

Hivyo basi napendekeza maboresho katika
chasis inyanyuliwa kidogo maana pikipiki hizi zipo chinichini sana dereva na hata abiria akikaa anakua kama kadumbukia hivi na kuumiza sana uti wa mgongo.
Natumai wakifanya hivi watauza sana.
 
Habari zenu wakuu natumai muwaziwa wa afya.

Nikijikita kwenye mada husika ninaposema pikipiki za kichina hapa namanisha KINGLION, FEKON, SINORAY, HAOJUE n.k.

Maana kwa huku mkoani hizi ndio pikipiki pendwa kwa bodaboda tofauti na jijini Dar kwenye TVS & Boxer.

Hivyo basi napendekeza maboresho katika
chasis inyanyuliwa kidogo maana pikipiki hizi zipo chinichini sana dereva na hata abiria akikaa anakua kama kadumbukia hivi na kuumiza sana uti wa mgongo.
Natumai wakifanya hivi watauza sana.
Kuna kitu hujajua kuhusu piki piki za kichina kama fecon, sanya , sanlg, kinglion n.k kutokana na umbo lake lile lile ndio maana inaweza kubeba mzigo ambao mweye boxer na tvs hawezi thubutu kuubeba l.
 
Habari zenu wakuu natumai muwaziwa wa afya.

Nikijikita kwenye mada husika ninaposema pikipiki za kichina hapa namanisha KINGLION, FEKON, SINORAY, HAOJUE n.k.

Maana kwa huku mkoani hizi ndio pikipiki pendwa kwa bodaboda tofauti na jijini Dar kwenye TVS & Boxer.

Hivyo basi napendekeza maboresho katika
chasis inyanyuliwa kidogo maana pikipiki hizi zipo chinichini sana dereva na hata abiria akikaa anakua kama kadumbukia hivi na kuumiza sana uti wa mgongo.
Natumai wakifanya hivi watauza sana.
Siku wakisikiliza maoni yako na kuyafanyia kazi ndio utakuwa mwisho wao... Usifikiri wachina ni wajinga kuzitengeneza hivyo.. Zile zimetengenezwa maalumu kea kubeba mizigo mizito sana.. Huko migodini utakuta zimebeba viroba vya mchanga, wanabeba mishikani ya watu hadi manne, magunia ya mahindi anakubebea matatu na mtu anakaa juu ya mzigo.. Hizo pikipiki ni balaa tupu.. Kimsingi zimetengenezwa ili ziweze kumudu mazingira ya vijijini.. Zina sura na umbo baya, lakini zinapiga kazi balaa. Sasa siku wakibadili chesis na kuziinua kidogo maana yake zitakosa balance na kukosa uwezo ea kuhimili mizigo mizito na hapo zitakuwa saea na boxer na TVS. Sasa jiulize tu, kama hizo pikipiki zilivyo na muonekano mbaya halafu utrndaji kazi wake uwe sawa na boxer au TVS nani atazinunua?
 
Kuna kitu hujajua kuhusu piki piki za kichina kama fecon, sanya , sanlg, kinglion n.k kutokana na umbo lake lile lile ndio maana inaweza kubeba mzigo ambao mweye boxer na tvs hawezi thubutu kuubeba l.
Umeongea fact japo umesahau kuwa hao wabeba mizigo na mkaa pikipiki zao huzifanyi modifications kwenye chasis hunyanyuliwa kidogo na kuongezea nondo nyembamba kwenye kiuno na keria ya mizigo au kuweka ya keria ya nondo tupu pia shockups huweka za bajaji/guta au huweka shockups mbilimbili kila upande.
 
Umeongea fact japo umesahau kuwa hao wabeba mizigo na mkaa pikipiki zao huzifanyi modifications kwenye chasis hunyanyuliwa kidogo na kuongezea nondo nyembamba kwenye kiuno na keria ya mizigo au kuweka ya keria ya nondo tupu pia shockups huweka za bajaji/guta au huweka shockups mbilimbili kila upande.
Mambo ya pikipiki hua siyajui,Hii modifications nimeshangaa sana
 
Siku wakisikiliza maoni yako na kuyafanyia kazi ndio utakuwa mwisho wao... Usifikiri wachina ni wajinga kuzitengeneza hivyo.. Zile zimetengenezwa maalumu kea kubeba mizigo mizito sana.. Huko migodini utakuta zimebeba viroba vya mchanga, wanabeba mishikani ya watu hadi manne, magunia ya mahindi anakubebea matatu na mtu anakaa juu ya mzigo.. Hizo pikipiki ni balaa tupu.. Kimsingi zimetengenezwa ili ziweze kumudu mazingira ya vijijini.. Zina sura na umbo baya, lakini zinapiga kazi balaa. Sasa siku wakibadili chesis na kuziinua kidogo maana yake zitakosa balance na kukosa uwezo ea kuhimili mizigo mizito na hapo zitakuwa saea na boxer na TVS. Sasa jiulize tu, kama hizo pikipiki zilivyo na muonekano mbaya halafu utrndaji kazi wake uwe sawa na boxer au TVS nani atazinunua?
Kwahiyo waliziunda kwajili ya mizigo kuchukua abiria tunaforce tu, sidhani kama linaukweli hili
 
china wanapikipiki za aina nyingi tu dealers ndio upendekeza hizo kwakua ndio pendwa. Ukipenda wawea nunua za india au japan
 
Back
Top Bottom