Kama cheo cha Naibu Waziri kina tija kwanini hakiingizwi kwenye katiba

Kama cheo cha Naibu Waziri kina tija kwanini hakiingizwi kwenye katiba

MKWEAMINAZI

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2023
Posts
930
Reaction score
1,304
Wadau naomba kufahamishwa juu ya Umuhimu wa Cheo cha NAIBU WAZIRI MKUU.

Pamoja na Sheria inayompa Rais nguvu ya kuanzisha CHEO chochote nimekuwa najiuliza Kwanini RAIS MWINYI hakukiingiza kwenye KATIBA Cheo licha ya kuwa na hiyo nguvu?

Pili kama Hicho Cheo kina Tija kwa Taifa kwanini MARAIS wa Awamu ya 3 ,4 na 5 hawakuwa na NAIBU WAZIRI MKUU?

Mwenye Majibu tafadhali atujibu.Binafsi
 
Back
Top Bottom