Kama Cocacola isingekuwepo........

Naisujaki Lekangai

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
1,340
Reaction score
1,377
Wanachitchat habari zenu.

Nisaidieni ninachowaza. Kila nikitazama tv za tanzania naona tangazo: "Kipindi hiki kinaletwa kwa ushirikiano na Cocacola"
au "kipindi hiki kinaletwa kwenu na cocacola"

Matangazo ya aina hiyo ni mengi mno, mpaka nikawaza, hivii, cocacola isingekuwepo hivyo vipindi visingeoneshwa?
Ama kweli tv za tanzania zinaendeshwa na cocacola, ni bora waachane na hayo majina eti x tv, abc tv nk. wajiite tu cocacola tv!
 
Matangazo alafu bado Pepsi inawakimbiza.
 
Wangeweka na tafadhali kwamba unywaji wa soda kupita kiasi ni hatari kwa afya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…