Ila mwamba sometimes huwa akili yako inahamia kalioni kinoma yaani.
Huwa una pumba za hatari!
Sio nyie mliokuwa mnasema mlifika fainali hili kombe 1993 na mnajisifu kabisa baada ya Yanga kuingia fainali mwaka jana?
Sio nyie mliopania hadi mkachoma makapeti ya viwanja vya watu South Africa?