Kama Diamond anamuajiri Kitenge na Kumwembe basi jamaa wa pale Mawingu wajitazame upya

ina maana ukisema hawezi unamaanisha

Hata share/hisa za diamond Radioni kapewa kama zuga tu ila hana mamlaka nazo



Ndivyo hivyo clouds na wasafi ni za joe diamond yupo kama mpambaji tu

au unataka kusema? maana hawezi vipi sasa
 
[emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211] comment za umu zote zimekaaa kindezi sana..
 
Me nadhani wasafi na mawingu wakotofauti sana hasa kwa upande wa maudhui, hawafanani aisee
 
Safi sana mnayaju ya wenzenu Haya leteni na habari zenu za mafanikio tujadili haaaa natania tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…