kama dunia inavyozunguka kwenye mhimili wake na jua pia.

kama dunia inavyozunguka kwenye mhimili wake na jua pia.

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,800
Reaction score
2,339
kama dunia inavyozunguka kwenye mhilimili wake pia jua hujizungusha kwenye mhimili wake kwa kuwa yenyewe sio kubwa ni ndogo wenzake stars zipo kubwa zaidi yake bila shaka na wanasema tunaiona kubwa kwa kuwa I'll karibu na sisi.

Galaxy ina miliona na billions of stars kwa kila moja huzunguka mwenzake ikiwa ainaya maisha yake sio lazima wanadamu kwa kuwa hali ya hewa ni tofauti ingawa naamini mineral composition inaweza kuwa na tofauti kidogo

vile vile kuna mvua na kila sayar INA atmosphere yake tofauti kwa kuwa gesi inayounda inaweza kuwa tofauti

tujadiliane kuongeza fahamu zetu kuhusu kazi kubwa iliyopo kwenye universe nadhani kwa wale waliosoms physic wanajua kuna theoretical physic. unafikiri kanakwamba umenda huko na kuvinjari kwenye mifumo mongine ya sayari
 
Mmmhh!!! Inavyoonyesha ulikuwa na kitu Fulani kizuri cha kuandika Ila bahati mbaya hukuandaa akili yako!
 
kama dunia inavyozunguka kwenye mhilimili wake pia jua hujizungusha kwenye mhimili wake kwa kuwa yenyewe sio kubwa ni ndogo wenzake stars zipo kubwa zaidi yake bila shaka na wanasema tunaiona kubwa kwa kuwa I'll karibu na sisi.

Galaxy ina miliona na billions of stars kwa kila moja huzunguka mwenzake ikiwa ainaya maisha yake sio lazima wanadamu kwa kuwa hali ya hewa ni tofauti ingawa naamini mineral composition inaweza kuwa na tofauti kidogo

vile vile kuna mvua na kila sayar INA atmosphere yake tofauti kwa kuwa gesi inayounda inaweza kuwa tofauti

tujadiliane kuongeza fahamu zetu kuhusu kazi kubwa iliyopo kwenye universe nadhani kwa wale waliosoms physic wanajua kuna theoretical physic. unafikiri kanakwamba umenda huko na kuvinjari kwenye mifumo mongine ya sayari
Jamani msimdharau huyu alikua anasoma maandiko hapa jf kuna vitu kujifunza sasa anataka kujifunza vitu vipya
Mkuu mtoa mada katika kujifunza kwako anza kuangazia kitu kinaitwa
1.Earth
2.The soller system
3.Galaxy
4.The Universe
Jifunze dunia inazungukaje na vitu vinavyoizunguka dunia ni vipi
2.jifunze jua ni nn na yapo mangapi
kazi zake na nn kinakusanya katika sola system
3.jifunze nn kinaunda galax idadi ya galaxy na je zinamove na kama zinamove kwa speed gani
Kisha maliza kwa Kujua n nn universe
Maana kuna mada ambazo Jf watu huwa hawabishani hTa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama dunia inavyozunguka kwenye mhilimili wake pia jua hujizungusha kwenye mhimili wake kwa kuwa yenyewe sio kubwa ni ndogo wenzake stars zipo kubwa zaidi yake bila shaka na wanasema tunaiona kubwa kwa kuwa I'll karibu na sisi.

Galaxy ina miliona na billions of stars kwa kila moja huzunguka mwenzake ikiwa ainaya maisha yake sio lazima wanadamu kwa kuwa hali ya hewa ni tofauti ingawa naamini mineral composition inaweza kuwa na tofauti kidogo

vile vile kuna mvua na kila sayar INA atmosphere yake tofauti kwa kuwa gesi inayounda inaweza kuwa tofauti

tujadiliane kuongeza fahamu zetu kuhusu kazi kubwa iliyopo kwenye universe nadhani kwa wale waliosoms physic wanajua kuna theoretical physic. unafikiri kanakwamba umenda huko na kuvinjari kwenye mifumo mongine ya sayari

Hapo kwenye Bold unahitaji msaada.
Jua halijizungushi (rotate) katika mhimili wake kama linavyofanya Dunia.
Kuna mizunguko mingi (Multiple of rotation on the surface of the Sun) kwenye uso wa Jua kulingana na milipuko inayotokea kwenye jua. Na kila baada ya mlipuko hutokea mzunguko wa lava. Chukua mfano wa jiwe linapotupwa kwenye maji yaliyotuama. Au uji unapochemka na kutokota. Inakuwa kama hivyo.
Bali Jua linazunguka (Revolution) kama Dunia inavyozunguka Jua. Jua huzungka galactic center. Au milkyway galactic center. Kumbuka Jua ni celestian body hivyo lazima lizunguke kwa maana ya Revolution na sio Rotation.
Kuhusu ukubwa wa Jua, ukweli ni kuwa Jua ni kubwa sana hasa ukiilinganisha na vilivyomo kwenye Solar system. Jua ni kubwa na unahitaji karibia Dunia milioni 3 kupata ukubwa wa Jua letu. Ila zipo Nyota zingine ni kubwa sana sana kwenye Milkyway galaxy kuliko Jua.
Na haiwi kwa star moja kuizunguka nyingine wala galaxy moja kuizunguka nyingine. Kila kimoja kina njia yake aliyoikadiria Sub-hana huwa taala aliye juu - Mkuu.
Kila kimoja kina chemistry yake ya mzunguko. Hope nimekupanua akili.
 
Hapo kwenye Bold unahitaji msaada.
Jua halijizungushi (rotate) katika mhimili wake kama linavyofanya Dunia.
Kuna mizunguko mingi (Multiple of rotation on the surface of the Sun) kwenye uso wa Jua kulingana na milipuko inayotokea kwenye jua. Na kila baada ya mlipuko hutokea mzunguko wa lava. Chukua mfano wa jiwe linapotupwa kwenye maji yaliyotuama. Au uji unapochemka na kutokota. Inakuwa kama hivyo.
Bali Jua linazunguka (Revolution) kama Dunia inavyozunguka Jua. Jua huzungka galactic center. Au milkyway galactic center. Kumbuka Jua ni celestian body hivyo lazima lizunguke kwa maana ya Revolution na sio Rotation.
Kuhusu ukubwa wa Jua, ukweli ni kuwa Jua ni kubwa sana hasa ukiilinganisha na vilivyomo kwenye Solar system. Jua ni kubwa na unahitaji karibia Dunia milioni 3 kupata ukubwa wa Jua letu. Ila zipo Nyota zingine ni kubwa sana sana kwenye Milkyway galaxy kuliko Jua.
Na haiwi kwa star moja kuizunguka nyingine wala galaxy moja kuizunguka nyingine. Kila kimoja kina njia yake aliyoikadiria Sub-hana huwa taala aliye juu - Mkuu.
Kila kimoja kina chemistry yake ya mzunguko. Hope nimekupanua akili.
mkuu umeongeza nyama sana na kuniongezea fahamu. kingine ni kwamba suala LA maisha kuwepo kwenye Sol system nyingine VP?
 
Jamani msimdharau huyu alikua anasoma maandiko hapa jf kuna vitu kujifunza sasa anataka kujifunza vitu vipya
Mkuu mtoa mada katika kujifunza kwako anza kuangazia kitu kinaitwa
1.Earth
2.The soller system
3.Galaxy
4.The Universe
Jifunze dunia inazungukaje na vitu vinavyoizunguka dunia ni vipi
2.jifunze jua ni nn na yapo mangapi
kazi zake na nn kinakusanya katika sola system
3.jifunze nn kinaunda galax idadi ya galaxy na je zinamove na kama zinamove kwa speed gani
Kisha maliza kwa Kujua n nn universe
Maana kuna mada ambazo Jf watu huwa hawabishani hTa

Sent using Jamii Forums mobile app
nimejifunza kwa kiasi ya kutosha kidogo ndo mana nikawaza nje ya box ambapo wengi hawakunielewa badala yake wakawaza kama vile sijui chochote. Ila kuna namna ya ajabu sana universe ilivyo kuna sola system nyingi sana hivyo ukifikiri sana unakuja kwenye point kuwa tuko wengi sana in the universe shida ni sisi kutoweza kufika hata kwa mawazo achilia mbali physicaly
 
Back
Top Bottom