Kama dunia ingekuwa ni Whatsapp Group, Admin angekuwa nani?

Kama dunia ingekuwa ni Whatsapp Group, Admin angekuwa nani?

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Hebu tuachane na mambo ya uchaguzi na corona kwanza. Tu refresh ubongo kidogo

Kama dunia yetu hii tunayoishi ingekuwa ni kama vile KIKUNDI CHA WHATSAPP (WHATSAPP GROUP) je ni nani (anapaswa/angepaswa )kuwa admin wetu?

Angalizo: Mambo ya dini yasihusishwe

Tujadili sisi kama sisi ambao tupo hapa duniani
 
Back
Top Bottom