Ninavyofahamu Sera ya Elimu Bure, Bima ya Afya kwa wote na Cement mfuko tsh 5000 Ilikuwa ni Sera ya CHADEMA yule shujaa Magufuli aliipora tu.
Sasa kama CCM itataka kufanikiwa kwenye hizi Sera ni vema wakawashirikisha wabeba maono ambao ni CHADEMA vinginevyo yajayo yakifurahisha.
Mungu wa mbinguni awabariki.