Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wengi tumekusikiliza ila naona ni kama alikuwa anajipendekeza kwa Utopolo, we unasema Gwanengy hawakuwa Avic ilikuwa propaganda lakn kila nilipokuwa nakusikiliza hujasema Gwanengy walikuwa wapi.We umekazania t kusema propaganda basi.
Tuambie Gwanengy walikuwa wapi?
Tuambie Gwanengy walikuwa wapi?