J jakarason1974 Senior Member Joined Apr 3, 2012 Posts 103 Reaction score 50 May 12, 2017 #1 Ikitokea umehukumiwa na Hakimu au Judge mwenye vyeti fake...HUKUMU itakawa NULL AND VOID... Maana aliyetoa huku hakustahili kusikiliza kesi??
Ikitokea umehukumiwa na Hakimu au Judge mwenye vyeti fake...HUKUMU itakawa NULL AND VOID... Maana aliyetoa huku hakustahili kusikiliza kesi??
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 May 12, 2017 #2 NGOJA WANASHERIA WAJE
Lusajo11 JF-Expert Member Joined Dec 13, 2014 Posts 1,887 Reaction score 1,965 May 12, 2017 #3 Mbona hilo liko wazi kama ilivyowazi kuwa Magufuli ni rais wa awamu ya tano JMT!! Tatizo hata uki appeal kama una vyeti feki utashindwa tena.
Mbona hilo liko wazi kama ilivyowazi kuwa Magufuli ni rais wa awamu ya tano JMT!! Tatizo hata uki appeal kama una vyeti feki utashindwa tena.
Mawimba Senior Member Joined Apr 29, 2013 Posts 155 Reaction score 159 May 16, 2017 #4 Kwa mtazamo wangu Jibu rahisi mno ni sawa na wale Tuliofundishwa na walimu wenye vyeti feki elimu, mahalifa na vyeti vyetu havibatilishwi lakini yawezekana mkuu atabatilisha....................
Kwa mtazamo wangu Jibu rahisi mno ni sawa na wale Tuliofundishwa na walimu wenye vyeti feki elimu, mahalifa na vyeti vyetu havibatilishwi lakini yawezekana mkuu atabatilisha....................
TGInnocent JF-Expert Member Joined Feb 7, 2013 Posts 1,088 Reaction score 582 Jun 23, 2017 #5 Nina shauku ya kusikia jibu la wasomi wetu wa sheria.