Kwa nyakati kadhaa viongozi wa serikali na CCM wamekuwa wakisema nchi Iko shwari, watu wako huru wanafanya siasa zao bila shida. Yani kiufupi hakuna tatizo lolote.
Lakini watu hao hao utasikia 4Rs, mara upinzani walikataa maridhiano. Na hivi karibuni Mzee Wasira amesema wao wako tayari kwa maridhiano.
Swali ni je, ni maridhiano gani huongelwwa hapa? Yani hakuna tatizo lakini tunataka maridhiano, ya Nini? Mi nijuavyo ukishasema upon tayari kwa maridhiano maana yake umekiri kuwepo kwa tatizo.
Lakini watu hao hao utasikia 4Rs, mara upinzani walikataa maridhiano. Na hivi karibuni Mzee Wasira amesema wao wako tayari kwa maridhiano.
Swali ni je, ni maridhiano gani huongelwwa hapa? Yani hakuna tatizo lakini tunataka maridhiano, ya Nini? Mi nijuavyo ukishasema upon tayari kwa maridhiano maana yake umekiri kuwepo kwa tatizo.