mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
😂😂😂imehifadhiwa kwenye safe ndani ya jengo
AKILIMALIWadau nimekuwa nafuatilia nyuzi mbalimbali humu juu ya Hati za Simba na Yanga.Kuhusu Hati ya Simba inasemekana anayo Mzee Kilomoni,japo sijajua kwa nini awe nayo mtu binafsi wakati ile ni Klabu ya watu wengi.Je Hati ya Yanga anayo nani? Naomba kufahamishwa kwa anayejua.
Yanga wanadhani wajanja ,Hati iko Zanzibarrrrr kwa Bi Mkubwa imetulia kama ya Simba ilivyotulia kwa Mzee kilomoniMama karume maana zile nikama mali zake
Mkuu kumbe na Yanga hawana Hati? Sasa mnawacheka nini Simba? Kweli Nyani hacheki kundule Hati anayo Mama KarumeZote tumemkabidhi mzee wenu Kilomoni baada kumgundua ni mtunzaji mzuri wa hizo hati.
Wewe Hati iko zanzibar kwa Mama karume lingekuwa jengo la serikali vyura wangezaliana pale?Umewahi kuona hati ya jengo la serikali??kaifuate Ikulu
Kumbe unajua unauliza nini??idiotWewe Hati iko zanzibar kwa Mama karume lingekuwa jengo la serikali vyura wangezaliana pale?
Na Mzee Kilomoni akifa atarithi nani?Mama akifa Mali na hati ni urithi wa Fatma Karume na nduguze! Safi sana